John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,003
- 2,267
Mkuu unaonaje tumuuze Sancho na tumrudishe park ji sungwakuu nawasalimia tuu leo.
Mkuu unaonaje tumuuze Sancho na tumrudishe park ji sungwakuu nawasalimia tuu leo.
wakuu nawasalimia tuu leo.
Huioni Liverpool?ukiangalia mechi za saa 11 hakuna timu kubwa inayocheza
View attachment 1948553
CR7 anapumzika leo!
Rashford akipona atarejea kikosini moja kwa mojaMartial's days at Old Trafford are numbered.
Yaani na Rashford akipona tena atakuwa frustrated sana na gams time atakayokuwa anapata.
katika makocha ambao wakifikiria tu kubadili mfumo wanapigwa ni pep, jamaa ana plan A tu, ukitaka ushahidi nitakutafutia mkuu.Nimeichungulia ratiba yetu ya mechi zijazo imenibidi nikubaliane na unachokisema kwa njia ya maandishi, lakini kuna jambo moja laziba tuliweke vichwani mwetu.
Ole wa sasa ana kundi kubwa sana la wachezaji wenye uwezo wa kumpa huduma ya magoli pengine kuliko kocha mwengine yeyote pale England, na hii ndio silaha yake kubwa itakayoendelea kumweka mjini kama ataendelea kuchanga karata zake vyema.
Ukitaka kupima ubora wa Ole kiufundishaji na si kimatokeo basi subiria mechi atakayofanya mabadiliko ya kikosi kwa kuwaweka nje key players hususani bruno fernandez, kwa mfano nimeona mechi ya leo akizungumzia mpango wake wa kufanya mabadiliko ndani ya kikosi kwa kuwapa nafasi wachezaji wengine kama lingard, mata, telles, elanga n.k
tukumbuke kuna timu hazibadiliki kiuchezaji hata kama zitatumia wachezaji wa kikosi cha pili, timu ni hizo ni man city, liverpool, leeds, chelsea, brighton.
je pattern ya kiuchezaji itabaki vile vile au itaathiriwa na mabadiliko ya wachezaji?
bila ya shaka jibu tutalipata usiku wa leo na hapo ndipo tutakapofahamu rasmi Ole ni kocha wa aina gani.
nakusalimia tu mkuu. miaka 2 iliopita kikosi cha leo kinachoanza ndio kilikuwa kikosi cha kwanza mkuu.Mdau mpaka leo ujajua ole ni kocha wa aina gani???
Ilo jasho tutakalotolewa leo kwa kikosi icho utakuja kumkataa hapa waziwazi
Leo wanafungwa traaaaNjooni Chelsea enyi wa unyumbuni musumbukao na kuteswa na kijimtu kama olesendeka gunna kinachong'ata na kupuliza. Ninyi mizigo yenu yote tutaibeba mabegani mwetu na kuhakikisha munaishi kwa furaha tena.
CFC
Kishakula sana kichapo so leo ni muendelezo tu pale kilipoishianakusalimia tu mkuu. miaka 2 iliopita kikosi cha leo kinachoanza ndio kilikuwa kikosi cha kwanza mkuu.
mbona naskia anafungwa tu nusu na fainali.Kishakula sana kichapo so leo ni muendelezo tu pale kilipoishia
Hii timu kuna shida sana kwenye defensive.Tushapigwa kimoja tayali
Bado hajafukuzwa tumbona naskia anafungwa tu nusu na fainali.