Si mlisema ndiye anamfundisha Luke Shaw kupiga krosi?Telles tumepigwa
Si mlisema ndiye anamfundisha Luke Shaw kupiga krosi?Telles tumepigwa


Kwani Ole kafanya nini tena leo? Mbona kaweka kikosi kizuri tu au kisa tumefungwa?Tukiongea tunaonekana ni plastic fans wa Man United, haya mashabiki original furahieni na Ole wenu.
Acha inyeshe tujue panapovuja mkuu, maana watu wakishinda wanajiaminisha kuwa Man U ina kocha.Lingard saidia muzee yako Ole tusiaibike Leo.![]()
Mi namsubiri mkali wangu Greenwood aje kuwaonyesha watu wanafungaje hawa vijana. Ole sitaki kumuongelea kabisa hapa plastic fan mimi.Acha inyeshe tujue panapovuja mkuu, maana watu wakishinda wanajiaminisha kuwa Man U ina kocha.
Ukifikiria kwamba sikuizi Man U imekuwa yakutokea nyuma kila siku Ili update eidha droo au ushindi, unaona kabisa kikosi tunacho ila tuna kocha kiazi pale EPL.
Ni sawa kabisa mkuu tuendelee kuwa wavumilivu kwakua ni kawaida yetu kutokea nyuma kula mechi Ili tupate drop au ushindi, ni kawaida kabisa kukosa cleanshit kila siku hata kama tunacheza na mid-table team.Kwani Ole kafanya nini tena leo? Mbona kaweka kikosi kizuri tu au kisa tumefungwa?
So far tumecheza vizuri, tumekosa tu magoli. Lile goli ni uzembe wa wachezaji wetu kushindwa kum-mark Lanzini na kumuachia space kubwa peke yake.
Hii mechi wachezaji wetu wakitulia tunashinda dk 90 na ikiwa ngumu sana droo inapatikana.
Mkuu, wanasema Ole ni bonge la kocha..!Kinachonikasirisha kutoka kwa kocha ni hiki?.
Yupo yupo kakunja nne, maforwards hawakabi aggressively ili kuharibu mentality ya wapinzani, kingine baki pass nyingi si aamke akemee backpassing.
Kikocha moja ovyo.
Castr Mimi nlidhani tunaolalamika ni Arsenal tu. HahaahahahahahahahaTukiongea tunaonekana ni plastic fans wa Man United, haya mashabiki original furahieni na Ole wenu.
Unamzungumzia huyuhuyu legend wetu OLE? OLE ni bonge la kocha. Wewe utakuwa ni plastic fan tu😅😅.Kocha hatuna timu inahitaji matokeo yeye kakaa tu hata kuamsha amsha hana kufanya sub hakuna
Kumbe hata huko Mwanitesa mnakasorishana hivyo??Kinachonikasirisha kutoka kwa kocha ni hiki?.
Yupo yupo kakunja nne, maforwards hawakabi aggressively ili kuharibu mentality ya wapinzani, kingine baki pass nyingi si aamke akemee backpassing.
Kikocha moja ovyo.
Hahaha mashetani yamemind yanasema kocha kinabo. Wagonga nyundo hawana habari wamekomaa tuCastr Mimi nlidhani tunaolalamika ni Arsenal tu. Hahaahahahahahahaha
Kumbe malalamiko mpaka kwa mashetani