Tutafika tu wana GGM, Natamani nipate mtu aliyekuwepo miaka ya 1986-1992 wakati Ferguson anapitia kipindi kigumu kama cha sasa, atupe uzoefu wa kuyavumilia haya ya sasa, maana mashabiki wengi hawana uzoefu na hiki tunachokipitia. Mind you, tuliwahi kupitia hali hii miaka hiyo but muda ulikuja tukafaidi matunda ya uvumilivu wetu kwa kipindi cha miaka 26. So timu inajengwa tena kuja kutawala tena kwa miaka mingi. GGM.

Sent using Jamii Forums mobile app

Miaka hiyo soka halikuwa na ushindani wa kibiashara kama sasa.

Mind you, Ferguson alikaa miaka yote hiyo akisubiriwa, lakini toka aondoke ni almost muda sawa ila mna 4 coaches now.
 
Hao tammy na pulic wamewafikisha wapi mpaka sasa? Kuna ma striker ulayahuko wenye viwango vya kueleweka.

Halaf jiran mechi ya juzi ulipofungwa ilipotelea wapi?
Izo rashford na lingard takataka amna kitu apo ...zinakamia timu kubwa tu kama hazina akili ..uza nunua straika kaliba ya Tammy na wings zenye njaa kama pulisic enjoy mpira mzuri na magoli...

Uyo rashid atoboi goli 15nimesema

N.B: EPL tu..

Kila.la kheri Chelsea

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnaposema ni small team mentality huwa siwaelewagi kabisa

Embu nitajie timu nyingine "ambayo ni small team, yenye small team mentality" inayovuna points kwa wakubwa na kuzingua ikikutana na timu ndogo

Norwich, Westham, Watford, Villa, Burnley, New Castle......... List inaendelea

Haya niambieni kati ya hizo timu, ni nani anapata matokeo kwenye game kubwa na anazingua kwenye mechi ndogo

This is not about small team mentality, it's about our style of play and type of players we have, WHICH LARGELY DEPEND ON COUNTER ATTACKING FOOTBALL, WITH VERY LIMITED CREATIVE PLAYERS AND WITHOUT DEADLY STRKERS

Our only deadly striker is just warming the bench because he has few years compared to the starters
Small team mentality. Wazee wa kukamia mechi ngumu, wakikutana na wachovu chali.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpira siyo hamasa peke yake na ufundi pia jana Ferguson alikata Chanel zote za man united kupiga counter.

4 2 2 2 aliacha katikati wazi ambapo man united siyo threat sana.

Nyuma akianza na defenders watano na wote walikuwa hawavuki second line ya defence.

Kushinda mchezo wa jana ilihitajika namba 10 mnyumbulifu, na anayeweza kucheza long range shots kama Debruyne, halafu Martial na Rashford wacheze wide kuwavuta pembeni defenders wa everton ili kupunguza numerical superiority kwenye first defence line yao.

Alipoingia Greenwood uliweza kuona mobility ya timu iliongezeka na alifunga goli akiwa kwenye mstari mmoja na defenders wote wa Everton huku Martial na Rashford wakiwa pembeni.

Everton walikuwa vizuri sana kwenye second ball unaweza kuona waliwin every second ball.

Kingine hatutumii sana deadball kupata magoli especially kona na direct free kick tukifanikiwa kwenye hili hope tutaanza kushinda hizi gemu za kawaida.

Siyo kila siku lazima striker wafunge magoli lazima wachezaji wa idara zingine waweze kucapitalize weakness za opponents wetu.

Mathalani jana Lingard would have scored, Maguire would have scored, Fred would have scored, Mata even Lindelof unaweza kuona timu kama Liverpool there times front three yao haifungi lakini bado wanapata ushindi.

Man u mlifunga city kwa hamasa ya OGS. Kile kiwango mlichocheza na city mngekiapply leo mngeshinda 4 moja

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnaposema ni small team mentality huwa siwaelewagi kabisa

Embu nitajie timu nyingine "ambayo ni small team, yenye small team mentality" inayovuna points kwa wakubwa na kuzingua ikikutana na timu ndogo

Norwich, Westham, Watford, Villa, Burnley, New Castle......... List inaendelea

Haya niambieni kati ya hizo timu, ni nani anapata matokeo kwenye game kubwa na anazingua kwenye mechi ndogo

This is not about small team mentality, it's about our style of play and type of players we have, WHICH LARGELY DEPEND ON COUNTER ATTACKING FOOTBALL, WITH VERY LIMITED CREATIVE PLAYERS AND WITHOUT DEADLY STRKERS

Our only deadly striker is just warming the bench because he has few years compared to the starters

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ndio Jambo la msingi huwez kusema Small team mentality wakat hao small team hakuna ambae ameweza kupata matokeo kama yetu kwa big six teams.

Tunawafunga wakubwa wenzetu kwasababu huwa wanaopt kufunguka so inakua rahis sana kuwapiga counter attack wakichagizwa na front three yetu wote ni watu ambao wana kimbia sana so inakua rahis sana kuwin matches

Hizo team ndogo hazina huo muda kwa wao matokeo ya draw kwa manchester united ni muhimu sana kuliko kufunguka so hapo ndio OGS anatakiwa apafanyie kazi.

So far backline yetu sijaona kama ina tatzo ukiacha makosa madogo madogo ukicompare na last season kiungo cha Scot na Fred tayar combination imeshakaa sasa hv unaona Fred anazunguka uwanja mzima akiwa anakaba na kupeleka mpira mbele, This is where now unahitaji kuongeza winga mmoja plus number 10 moja inayonyumbulika hao wakina martial Rshford wakipata mtu ambae atakua anafanya kaz yao wanayoifanya sasa hv ya kuassist on each other tunaweza kuwakataa kwamba ndio hawa striker ambao hawafiki goli 10 kwa msimu they will score and score.

Tunahitaji kupata number 10 ambayo itamfanya Pogba asijihis kwamba yuko peke ake so alete maringo then winga moja kwa ajili ya kusaidiana na kina DJ na striker mmoja kama backup to incase wakiwa majeruhi au out of form sishauri sana kuhusu dogo Greenwood na wenzie tukiwafanya kama backup tutawafanya wacheze sana kwa presha wakat wanatakiwa kuzoea taratibu
 
Kuna options nyingi sana za namba ten zinatajwa Tajwa sana kama
1 Kai Harvetz
2 James Maddison
3 Bruno Fernandes
4 Saul Niguez.
5 Donny Van de Beek

Kati ya hao nani atafaa kuja united ?

Kwangu mimi first choice yangu atakuwa Donny Van de Beek then Bruno Fernandez Saul Niguez.

But I would rather prefer Paul Pogba to play that role kama hatauzwa.
Hili ndio Jambo la msingi huwez kusema Small team mentality wakat hao small team hakuna ambae ameweza kupata matokeo kama yetu kwa big six teams.

Tunawafunga wakubwa wenzetu kwasababu huwa wanaopt kufunguka so inakua rahis sana kuwapiga counter attack wakichagizwa na front three yetu wote ni watu ambao wana kimbia sana so inakua rahis sana kuwin matches

Hizo team ndogo hazina huo muda kwa wao matokeo ya draw kwa manchester united ni muhimu sana kuliko kufunguka so hapo ndio OGS anatakiwa apafanyie kazi.

So far backline yetu sijaona kama ina tatzo ukiacha makosa madogo madogo ukicompare na last season kiungo cha Scot na Fred tayar combination imeshakaa sasa hv unaona Fred anazunguka uwanja mzima akiwa anakaba na kupeleka mpira mbele, This is where now unahitaji kuongeza winga mmoja plus number 10 moja inayonyumbulika hao wakina martial Rshford wakipata mtu ambae atakua anafanya kaz yao wanayoifanya sasa hv ya kuassist on each other tunaweza kuwakataa kwamba ndio hawa striker ambao hawafiki goli 10 kwa msimu they will score and score.

Tunahitaji kupata number 10 ambayo itamfanya Pogba asijihis kwamba yuko peke ake so alete maringo then winga moja kwa ajili ya kusaidiana na kina DJ na striker mmoja kama backup to incase wakiwa majeruhi au out of form sishauri sana kuhusu dogo Greenwood na wenzie tukiwafanya kama backup tutawafanya wacheze sana kwa presha wakat wanatakiwa kuzoea taratibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna options nyingi sana za namba ten zinatajwa Tajwa sana kama
1 Kai Harvetz
2 James Maddison
3 Bruno Fernandes
4 Saul Niguez.
5 Donny Van de Beek

Kati ya hao nani atafaa kuja united ?

Kwangu mimi first choice yangu atakuwa Donny Van de Beek then Bruno Fernandez Saul Niguez.

But I would rather prefer Paul Pogba to play that role kama hatauzwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwangu mim ningeanza na James Maddison then Bruno Fredandes

Why James huyu ni msaada kwa sababu tayar ameshazoea soka la kiingereza na ni rahis sana kuingia kwenye mfumo wetu bila presha na kwa mpira ambao tunaucheza sa hv typical english soccer

Huyu jamaa anakaba anatoa assist na kufunga which means itakua rahis zaid kwa wale jamaa wawil pale mbele kumalza kazi.
 
Hapo naona Kai, Madison au Fernandez ndio wanaweza kutusaidia

Sijavutwa sana na stats za Saul kwenye assists au kufunga.

Pia, naona Don sio creative kivile
Kuna options nyingi sana za namba ten zinatajwa Tajwa sana kama
1 Kai Harvetz
2 James Maddison
3 Bruno Fernandes
4 Saul Niguez.
5 Donny Van de Beek

Kati ya hao nani atafaa kuja united ?

Kwangu mimi first choice yangu atakuwa Donny Van de Beek then Bruno Fernandez Saul Niguez.

But I would rather prefer Paul Pogba to play that role kama hatauzwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo naona Kai, Madison au Fernandez ndio wanaweza kutusaidia

Sijavutwa sana na stats za Saul kwenye assists au kufunga.

Pia, naona Don sio creative kivile

Sent using Jamii Forums mobile app
Donny ni Finisher mzuri kuliko Maddison na anakaba sana.

Maddison speed yake ni kubwa kuliko Donny ila passing accuracy ya Donny ni kubwa kuliko Maddison.

Creativity nafikiri hawatofautiani sana kwa hilo Kai Havertz atakuwa juu yao.

Strength hawatofautiani sana but Donny yuko juu kidogo ya Maddison.

Saul Niguez siyo best option sana hasa kwenye stats za kufunga na kutoa assist maybe kutokana na role anayocheza Atletico kwa sasa.

Kuhusu kuzoea ligi hili uko sawa Maddison atakuwa na comparative advantage over Donny.

Kuhusu ufungaji na assist basi best option itakuwa ni Bruno Fernandez but siyo typical namba Ten.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dogo hichi kipindi najua ukuwepo umeadisiwa ..tuulize sisi kaka zako

Enewei hii Man United choka mbaya huwezi fananisha na ya 92 uko ..

Mimi King Of London & England siwezi kufungwa na Everton alafu ninyi vijakazi wa hapo Manchester ushinde

Timu yeyote iliyomfunga Chelsea lazima itawatoboa tu..

Kila la kheri Chelsea

Sent using Jamii Forums mobile app

City vipi?
 
Back
Top Bottom