Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Vita nafasi ya 4

Wapinzani wanaofuata kwa Man Utd na Chelsea

Man Utd VS Everton, Watford, Newcastle & Burnley

Chelsea Vs Tottenham, Southampton, Arsenal & Brightom

Kaugonjwa ka mechi ndogo kasiturudie

Sent using Jamii Forums mobile app

Haka Kaugonjwa bado kanawaandama.

Unapata Matokeo Etihad then unakosa matokeo OT
 
Ingekua uwezo wangu, wachezaji wote wa ManU mwezi huu hakuna kulipa mshahara, washenzi kabsa, yaani tukichenza na timu ndogo uwa 1st half wanakua slow kama wana mgomo baridi alafu wanakuja kuamka 2nd half too late, namuonea huruma OGS, ana wachezaji wasiojua ni jinsi gan Utd ina fanbase kubwa duniani
From today ntamshangaa OGS kama atoanza kumuanzisha Mason Greenwood 1st eleven, dogo is a killer, dogo is far better than martial n lingard

GGMU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ni mimi tu ninae ona bwana mdogo GreenWood ana score kama Kama Van Persie.At least now a days tim yetu inacheza kwa mipango Japo finishing bado ni tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu dogo analijua goli kuliko hata kina Martial na Rashford.

Greenwood, Scott na Daniel James, hawa madogo watatu wanajua nini wanafanya.

Yote kwa yote alichofanyia Moise Keane kimeniuma japo ni timu pinzani. Nimeona hadi Shaw kaenda kumfariji.
 
Hiki ni nini sasa??

Shida ni nini??

Tunahitaji watu kama Greenwood..yaani hata kwenye tight space anakuweka
Yaani Rashford na Lingard wamekosa magoli ya wazi, dogo kapata assist from James, nilifikiri atatoa pasi bcoz alikua kazibwa sana, cha kushangaza katia kamba ivyo ivyo, japo nimefadhaika na results ila nina furaha leo ni siku mbaya kwa foward line zetu rashford, martial n lingard, dogo Greenwood kawadhalilisha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu dogo analijua goli kuliko hata kina Martial na Rashford.

Greenwood, Scott na Daniel James, hawa madogo watatu wanajua nini wanafanya.

Yote kwa yote alichofanyia Moise Keane kimeniuma japo ni timu pinzani. Nimeona hadi Shaw kaenda kumfariji.
Umesahau kumjumlisha Fred hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom