Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mason Greenwood looks like the real deal, says Gary Neville

"I’d say Greenwood is a better finisher than Marcus Rashford - and that's saying something. He really does look the real deal. The way in which he finishes is that of a top centre-forward."



Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo bora aanzishwe kikosi cha kwanza then Lingard akasugue ubao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
club Brugge

1576500441576.png
 
Ninge argue kwa maneno machache tu. Moja David James, rashford na Mashall walitosha kuifanya defense isinyae, mipira ijae mbele.

Pili, KUACHA hapo katikati Fergie alipopaacha wazi ili Fred na MacTommary wadefend na kipush, ninachokijua kwa manutd traditional football, long passes goal ingewin michezo kama wana.

Tatu. Bado OGS anahangaika kujenga kikosi kwa sabb hadi sasa ashajua anayepigania timu. Ogs hana mpango na mchezaji mzuri anayeuza sura. Simply tu kwamba ana kipaji na anapendwa. It's nonse kwake. Pogba alimtegemea sana. Angekuwa main man. Lkn Sasa timu inahaha kuwa na main man.
 
Sir Matt Busby aliwahi kusema " If they're good enough they're old enough " .

sioni sababu ya kum-ease in taratibu kwenye kikosi Greenwood na kuogopa kumkabidhi majukumu kwasababu ya umri wake . Anzisha first 11 kwenye ligi maana bishoo Martial anazingua sana
 
Sir Matt Busby aliwahi kusema " If they're good enough they're old enough " .

sioni sababu ya kum-ease in taratibu kwenye kikosi Greenwood na kuogopa kumkabidhi majukumu kwasababu ya umri wake . Anzisha first 11 kwenye ligi maana bishoo Martial anazingua sana
Bado hamjamsoma sosha, huyu kocha mtankubali tu. Tangia de gea asaini mkataba, nimemuona ogs akibadilika sana hasa kwa wachezaji wanaringaringa, kale kadogo kafupi kutoka akademi kanakoitwa gomez kamewekwa benchi unajua sababu.. pogba atalamba mchanga, Ferguson kwenye hiyo documentary akiyoweka mkuu mmj hapa kwenye uzi, amesema, uunapaswa kuwa na wachezaji wenye moyo... wenye ari, wenye kupigania timu. Mm namuona ogs akifanya hicho kitu, ndio maana ameamua kumuamini Fred, Pereira, japo Andrea anababaika, anamuamini hata mata, MacTommary kwa sabb wanapigania.. sasa wewe angalia mchezaji anayecheza kama kiazi
 
Kuna jambo hapa kuna baadhi ya watu wananifurahisha sana, Erlin Haaland wanini wakati tuna Mason Greenwood? Tena kwangu mimi naona Erling anacheza mahala ambapo hana pressure na kapewa muda zaidi kuliko Mason. Kwangu mm kama ananunuliwa mshambuliaji basi anapaswa awe mzoefu kuja kumpa uzoefu mtu kama Mason calibre ya Harry Kane na sio kinda mwenzie tena ambaye anamzidi uwezo. Kama kuna kitu kitanifanya nilidharau bench letu la ufundi ni kumnunua huyu Erling. It's a total joke! And It will be very disrespectful kwa Mason.
 
Mashabiki kuna wakati huwa tuna babaika sana

Kipindi Martial ameumia, tuliona kabisa kuwa ni bora Lukaku na Sanchez wangeachwa kikosini wangeweka ujazo kwenye squad yetu

Nakumbuka wakati huo, Greenwood alipata nafasi kadha wa kadha, lakini hakuonesha makeke kiviiile (mimi naendelea kuamini dogo ni bora kuliko Tony na Rashy kwenye ku score)

Kipindi hicho tulihitaji sana striker, tulipiga sana kelele kuhusu hitaji la striker na OGS alisema ni dhahiri kuwa nafasi inayopewa kipaumbele kuzibwa katika madirisha yajayo ni striker, na mashabiki wote tuliunga mkono wazo hilo

Ghafla Greenwood yupo form (kwa kufunga mfululizo), tunaona tena haina haja ya striker...... Hahahaha, mashabiki bhana, ndio maana bodi sometime huwa haisikilizi kelele zao.

Tumewahi kuwaza ikitokea Martial na Rashy wameumia kwa wakati mmoja hata kwa wiki 3 tu, nini kitatukuta? Tutamweka pale mbele Greenwood na Pereira, au na Lingard? Ikitokea katika mechi 5 mfululizo dogo hajafunga, si mashabiki tutamkataa? Je akiwa na mtu mwingine hatuoni kama itamsaidia kumpunguzia pressure?

Tunasema aletwe mtu mwenye experience, nani Mandzukich mwenye miaka 34? Falcao? Zlatan? Are we serious?

Utoto wa Haaland. Kiumri Haaland na Greenwood wanaweza kuwa sawa au wamezidiana kidogo, lakini tunapaswa kutofautisha kati ya age vs maturity, Haaland ameanza kucheza senior football mapema ukilinganisha na Greenwood, kwenye hoja hii hii, leo tukiambiwa Mbape aje United tutamkataa kwa sababu tutam discourage Greenwood au Rashy?

Je tumesahau hii ni Manchester United inayohitaji ushindani wa hali ya juu kwenye namba, je tumesahau hii ni United inayohitaji options mbalimbali kwenye kila namba uwanjani? Je tumesahau kuwa ushindani ndio utaongeza ufanisi kwa wachezaji wetu? Je tumesahau kwa wakati flani tulikuwa na Andre Cole, Dwight Yorke, OGS na Teddy Sherigham katika kikosi kimoja? Juzi juzi ndani ya kikosi kimoja alikuwepo Berbatov, Tevez, Rooney, CR7, je hatutaki kurudi kwenye zama hizo?

Hoja ya kutafuta striker mwenye experience ndio aje awasaidie madogo si hoja sahihi sana, labda sokoni angekuwepo, Harry Kane, Aguero na wachezaji wa kaliba hiyo tungeweza kuishabikia.

Nakubaliana kumchukua Haaland ni gamble, kwanza anatoka ligi ambazo (Norway, then Austria) sio strong kama premier lakini pia kwa umri wake anaweza akaharibikiwa asipoji handle vizuri baada ya kuanza kula £100,000+ kwa wiki.

Lakini it is the gamble worth taking, isitoshe wanasema hawezi vuka £60million, mchezaji mwenye goli 27 katika mechi 22 zikiwemo za UCL atatusaidia sana.

Nakumbuka Madrid Wali gamble kwa Jovetic (na mwaka jana wengi tulimtamani aje United) lakini mpaka sasa bado haja onesha makali. Icardi hali yake sijui ipoje huko alipo?

Kuna jambo hapa kuna baadhi ya watu wananifurahisha sana, Erlin Haaland wanini wakati tuna Mason Greenwood? Tena kwangu mimi naona Erling anacheza mahala ambapo hana pressure na kapewa muda zaidi kuliko Mason. Kwangu mm kama ananunuliwa mshambuliaji basi anapaswa awe mzoefu kuja kumpa uzoefu mtu kama Mason calibre ya Harry Kane na sio kinda mwenzie tena ambaye anamzidi uwezo. Kama kuna kitu kitanifanya nilidharau bench letu la ufundi ni kumnunua huyu Erling. It's a total joke! And It will be very disrespectful kwa Mason.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Liverpool kuna mechi kibao wamecheza hovyo kushinda hata sisi lakini wakachukua point tatu..Why??..Ni kwa sababu wanadeadly finishers upfront ambao wana kiasi fulani cha consistency..Sisi tuna bishoo Martial anafunga goli moja october jingine november..

Tunahitaji tuwe na kikosi kipana..Wanaosema Haalland asisajiliwe kisa Greenwood yupo huu ni zaidi ya utani..Man City wana Aguero na bado wana Brazilian first choice straiker (G.Jesus)..Wana Mahrez +Bernado Silva kwenye nafasi moja..Wana Sane +Sterling kwenye nafasi moja..Tuacheni utani jamani..
 
Back
Top Bottom