Ndiyo uwezo wenu umeishia hapo na mshukuru kwa drawNisiwe muongo nimeumia kichizi kudroo hii mechi
Wachezaji wameishiwa molari kabisa Baada ya pogba kukosa penati.
Pogba, pogba, pogba
Haya bana
Ndiyo uwezo wenu umeishia hapo na mshukuru kwa drawNisiwe muongo nimeumia kichizi kudroo hii mechi
Wachezaji wameishiwa molari kabisa Baada ya pogba kukosa penati.
Pogba, pogba, pogba
Haya bana
Sorry never too lateSorry too late
Nyumbu bhana vipi zile nne za chelsea
Na kweli imemalizika hvo...Game itamalizika 1:3 tusikate tamaa.
Kwakweli. Mko vizuri.
Maguire + Bissaka mpaka wafunge magoli ndio uone wanacheza vzr..??Ya Chelsea na Leicester yamejirudia.
Man U haijawa tamu. Ni tofauti na ile iliyocheza na Chelsea.
Haijaonyesha consistent ya kiwango, Maguire na WanBissaka wana kazi ya kuprove viwango.
Bado najiuliza leo lingard alikuwa anafanya nini uwanjani na ni kwanini Ole hakumtoa mapema.
Labda mnashinda njaaGemu tunashinda hii
Sawa nyumbuKwa hali hii acha tu tuitwe nyumbu.....timu haina spidi kabisa
Man u leo na nyie mkijitahidi sana sare mliwaonea cku ile wale watoto wa lampard ila leo kazi mnayo
Mkipigwa msilaumu na mkidraw jisifuni
Ushindi sahauni
Ni masifa tu,mpigaji alikuwa Rashford, Ole amemfanya Pogba awe juu ya timu na ataharibu mshikamano wa timu muda sio mrefu.
Mganga wa jessey lingard yupo vizuri sana
Msimamo wa ligi ya BANGLADESH bila shaka.