Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Usajili ulipondwa sana huu kwamba flop ya Seria A inagoli tisa msimu mzima alipotoka Epl hawez kitu😃
Screenshot_20240519-195834.png
 
UTD imefeli kwa sababu ya kutojua ni Muda gani sahihi wa kufanya Dili zake na wachezaji kuhusu Mikataba na Ishu ya Sajili Pia.

Herrera, Mata, De Gea, Pogba, Lingard, Matic, CR7, Zlatan, Cavani, Varane, Martial,
Hakuna hata Mchezaji Mmoja UTD imepata hata senti kwenye kuondoka kwao. Wote wameondoka kama FREE AGENTS.

Bruno ni Mzuri sana lakini huwezi tengeneza timu kumzunguka Ligi ikianza anaingia Miaka 30, Shaw anafika 29, Rashy 27 na hamna namna unaweza tengeneza timu kumzunguka hana Mentality ya Kuibeba timu.

BRUNO, SHAW, RASHY ni Muda sahihi wa Kuwauza kipindi hiki wanauzika.
Rashy ana mkataba mnono sana kumuuza itakuwa mtihani mkubwa lakini hawa wengine ni vyema wakauzwa mapema hasa Bruno yuko kwenye kiwango kizuri tunaweza kuvuta mpunga wa maana.
 
Rashy ana mkataba mnono sana kumuuza itakuwa mtihani mkubwa lakini hawa wengine ni vyema wakauzwa mapema hasa Bruno yuko kwenye kiwango kizuri tunaweza kuvuta mpunga wa maana.
Wauzwe wachezaji wote na kocha wap,hamna timu pale
 
Ukiiangalia timu yetu jina la mchezaji mmoja mmoja kama shabiki unajua tuna timu mbovu. Bahati mbaya sana tumekaa na hawa wachezaji si chini ya misimu 3 hadi 5 lakini hawabadiliki kiuchezaji, hawafuati mbinu za walimu na hawana ubora katika maeneo yote uwanjani. Lakini ukipata taarifa ndio wachezaji tunaotegemea kuwaona tena msimu ujao kama backbone ya timu, unaanza kukata tamaa kabla hata ratiba ya mechi ya msimu ujao haijatoka.
Nadhani wachezaji wenu wengi ni wazuri. Wanahitaji kujiamini zaidi na kuipambania timu zaidi.
 
2nd season at Man United...

Erik Ten Hag:

• 8th place (worst ever)
• 60 PL points (second worst ever)
• -1 gd (worst ever)
• 14 PL defeats (worst ever)

José Mourinho:

• 2nd place
• 81 PL points (best post SAF)
• +40 gd (best post SAF)
• 19 clean sheets (best post SAF)
 
Rashy ana mkataba mnono sana kumuuza itakuwa mtihani mkubwa lakini hawa wengine ni vyema wakauzwa mapema hasa Bruno yuko kwenye kiwango kizuri tunaweza kuvuta mpunga wa maana.
Sahihi! Bruno, Rashy, Shaw, Casa Hawa wakati Mzuri kuwauza. Rashy amesaini mkataba Mpaka 2028 na kwa wiki anachukua 375k + Bonus, Casa anachukua 450k + Bonus, Ukiangalia Wastani wa Umri wao na Unataka tengeneza timu wote ni wa Kuondoa.

Hojlund, Mainoo, Licha, Garnancho, na Kiasi flani Onana, Dalot, Mount, Amad unaweza ukaanzia. Ingawa Dalot na Garnacho Kuanza kila Game sio. Wafunike Kombe warudishe Greenwood & Sancho. {Hawa Waloyapitia watapunguza ule "UFAZA" wa Kiingereza}
 
Wanangu mambo vipi?
Nafasi ya 8 hata sisi tumeshaishika, tena mara 2. Pigeni moyo konde.
Flano unakumbuka ile UEFA cup winners cup ambayo sisi tumebeba mara moja?

Unakumbuka nilikuambia imemezwa ndani ya UEFA cup sasa na ilikuwa anashiriki aliyebeba kombe la nje ya ubingwa, mfano FA Cup. Unaona jinsi namna yako pekee ya kushiriki Europa ni kwa kushinda FA cup? Yaani ile system iliyomezeshwa ndani ya Europa?

Mlituchukulia poa ila jioneni jinsi jumamosi mtapambana kwa jasho na damu ili tu mpate fursa hiyo.
 
Back
Top Bottom