Kwel kabisa mnakaaje na beki kati zote za nje embu uzen saliba tuwape Lord MAGUIRE😀Uzalendo muhimu. Hatutaki timu zetu za uingereza zijazwe watu wa mataifa ya nje 😀😀
Acha tu tupambane na hali yetu. Tuko na Saliba, acha tu tukomae nae hivyo hivyo tusiwaharibie bahati yenu ya kuwa na Maguire. Mkiona waingereza wamewazidi, tupeni hata Mainoo.Kwel kabisa mnakaaje na beki kati zote za nje embu uzen saliba tuwape Lord MAGUIRE😀
Maguire anawafaaa 🤣Acha tu tupambane na hali yetu. Tuko na Saliba, acha tu tukomae nae hivyo hivyo tusiwaharibie bahati yenu ya kuwa na Maguire. Mkiona waingereza wamewazidi, tupeni hata Mainoo.
Mipira aliyopata Garnacho angepata Amad gemu ingeisha mapema sana siku ya ArsenalKuna mtu anaweza kuongelea performance ya AMAD kwenye mechi 2 zilizopita shavu la kulia akimlinganisha na Anthony?
Tungojee bwanyenye mpya atasemajeUkiiangalia timu yetu jina la mchezaji mmoja mmoja kama shabiki unajua tuna timu mbovu. Bahati mbaya sana tumekaa na hawa wachezaji si chini ya misimu 3 hadi 5 lakini hawabadiliki kiuchezaji, hawafuati mbinu za walimu na hawana ubora katika maeneo yote uwanjani. Lakini ukipata taarifa ndio wachezaji tunaotegemea kuwaona tena msimu ujao kama backbone ya timu, unaanza kukata tamaa kabla hata ratiba ya mechi ya msimu ujao haijatoka.
TupoWatu mko wapi?
soma ubao papa GYaani nyie NYUMBU ndio hamja funga
Mkuu umepotea sana humu ndani..Daah bora msimu umeisha japo tumeteseka sana
Mkuu umepotea sana humu ndani..
Zile GIF za magoli ulikuwa unatoa wapi nikurithi kitengo😃