Zee la misifa leo limetunyima point tatu.

Pogba anaisaidia timu lakini anatakiwa apunguze sifa za kutaka aonekane yeye pekee.
Anajitahidi kufanya vibaya ili solksjer amuuze.
1566248099505.jpeg
 
Nisiwe muongo nimeumia kichizi kudroo hii mechi
Wachezaji wameishiwa molari kabisa Baada ya pogba kukosa penati.
Pogba, pogba, pogba
Haya bana
Ni masifa tu,mpigaji alikuwa Rashford, Ole amemfanya Pogba awe juu ya timu na ataharibu mshikamano wa timu muda sio mrefu.
 
Back
Top Bottom