Anajitahidi kufanya vibaya ili solksjer amuuze.
Zee la misifa leo limetunyima point tatu.
Pogba anaisaidia timu lakini anatakiwa apunguze sifa za kutaka aonekane yeye pekee.
Sasa hivi Man u tuko vizuri...
Kweli tutashinda.Game itamalizika 1:3 tusikate tamaa.
hahahahahahahahah.Refa amalize basi game jamani, hii droo inatutosha Wolves
Tushawaambia. Beki zimekamilika. Udambwidambwi na ushindi juu.Waambieni..., beki imeimarika, points 3 tunachukua, udambwi udambwi upo na vipofu wanaona tena..
Kisha huyo akapita katikati yao akielekea mlimani
Naona wewe na De Gea mkitazama. Sijui goli la Wolves limetoka wapiNawakumbusha tuu wolves hawajapiga shut hata moja golini yan kwa kifup de gea ameungana na sisi kuiangalia united ikicheza
Nisiwe muongo nimeumia kichizi kudroo hii mechi
Wachezaji wameishiwa molari kabisa Baada ya pogba kukosa penati.
Pogba, pogba, pogba
Haya bana
Ni masifa tu,mpigaji alikuwa Rashford, Ole amemfanya Pogba awe juu ya timu na ataharibu mshikamano wa timu muda sio mrefu. | |
Kwakweli. Mko vizuri.Sasa hivi Man u tuko vizuri...