Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mechi ya leo tumecheza vizuri

Tumetengeneza nafasi za kutosha japo tumeshindwa kuzitumia

Naona United iliyoboreka ukilinganisha na ile iliyopigwa na Wolves msimu uliopita

Bado sijaelewa kazi ya VAR, mchezaji wa Wolves alizidi mkono wakati anatoa pasi ya goli

Kukosa penati ni jambo linalovumilika kwa mchezaji katika soka, swali ni je Pogba ameng'ang'ania kupiga penati wakati si mteule wa kocha au?

Hapa naona vidudu mtu wengi wanazengea zengea, lakini amini nakwambia katika big six timu itakayochukua pointi angalau 1 nyumbani kwa Wolves basi hao ni wanaume

By the way, Uwanja uliinama

GGM
Unamatatizo wewe..kisa wewe na James Delicious mmeshindwa kumfunga sio
 
Huyu jombaa wamruhusu tu aondoke.
Pamoja na kuitwa the best midfielder
Ila wamruhusua aende spain, itakuwa ni kweli jamaa hana furaha.
Penati kakosa na leo kiungo kapoteana kweli.
Moment kama hizi ndo huwa tunamkumbuka babu fergie, alikuwa haruhusu mchezaji aipande timu kichwani.. yaani ukileta usechu hauchezi na unauzwa.
Morali ya wachezaji imeshuka..tutegemee droo nyingi sana.
Yaan hadi usingizi umegoma kuja. Dadekii
Mimi kwa madudu ya Pogba nitaendelea kumlaumu Ole, Aguero mchezaji mkubwa na bora pale City juzi tumeona anakoromewa na kutolewa kwa kutokukaba. Ole yupo anaendelea 'kuchua' kiburi cha Pogba.

Kama kocha anasema penalty zipigwe na Rashford si dharau yeye kwenda kuomba kupiga?

Ole alitakiwa kujenga nidhamu kwanza katika timu ndio mengine yafuate.
 
Zee la misifa leo limetunyima point tatu.

Pogba anaisaidia timu lakini anatakiwa apunguze sifa za kutaka aonekane yeye pekee.
Mi usajili wake tu sijawahi kuuunga mkono yaani kiungo type ya Paul Scholes iwe replaced na mtu anayeplay role moja tu ya kuchezesha but kwenye kukaba kapa.Kwa mpira wa siku hizi kiungo anayefanya kazi ya kuchezesha tu kwenye kukaba haonekani hiyo timu lazima iunge tela la kusindikiza wenzao.
 
Man u tumepoteza nafasi za wazi kabisa..hatimae wolves wamepata chance moja wameitumia vizuri. Safu ya ushambuliaji itatugharmu huu msimu
 
Ile game na chelsea mpaka nahisi tulibahatisha aiseee..defense iko poa ila oale mbele na kati kati aisee majanga siku tukikutana na city sijui itakuaje
Ni kweli mlibahatisha. Kwani kuna asielitambua hilo???
 
Sio mbaya..i can take it

√Martial inabidi aongeze bidii

√Daniel James naamini atazidi kuimarika

√Defence naona error zimepungua,kimsingi tumeimarika

√McTominay kuna kitu kidogo nahisi kama ana miss,na huwa kuna muda hawi sharp,anakuwa kama amelala..though leo pia amecheza poa kiasi fulani

√Watu mnamponda sana Lingard kiasi cha kusahau kuwa ndo yeye aliyehusika na goli letu..jamaa ni mzuri sana kwenye kubreak,link up play,fast dribbling..kuna kazi anaifanya uwanjani na sioni mtu wa kumweka benchi kwa kikosi hiki labda Mata kwa mbali..Though tunahitaji world class No 10
Naunga mkonyo oja hahahaaaa
 
Man u tumepoteza nafasi za wazi kabisa..hatimae wolves wamepata chance moja wameitumia vizuri. Safu ya ushambuliaji itatugharmu huu msimu
Hamna fowadi... Nyie toka lini mkamtegemea rashford,martial na lingard watu ambao kwa misimu mitatu mfululizo iliyopita hawawezi hata kufikisha goliv13 kwa msimu halafu nyie ndio fowadi zenu tegemezi????? Hamfiki popote.
 
Mi usajili wake tu sijawahi kuuunga mkono yaani kiungo type ya Paul Scholes iwe replaced na mtu anayeplay role moja tu ya kuchezesha but kwenye kukaba kapa.Kwa mpira wa siku hizi kiungo anayefanya kazi ya kuchezesha tu kwenye kukaba haonekani hiyo timu lazima iunge tela la kusindikiza wenzao.
Wenyewe wanadai huyo ndio nembo ya MUFC, wacha tutulie.
 
Mechi ya leo tumecheza vizuri

Tumetengeneza nafasi za kutosha japo tumeshindwa kuzitumia

Naona United iliyoboreka ukilinganisha na ile iliyopigwa na Wolves msimu uliopita

Bado sijaelewa kazi ya VAR, mchezaji wa Wolves alizidi mkono wakati anatoa pasi ya goli

Kukosa penati ni jambo linalovumilika kwa mchezaji katika soka, swali ni je Pogba ameng'ang'ania kupiga penati wakati si mteule wa kocha au?

Hapa naona vidudu mtu wengi wanazengea zengea, lakini amini nakwambia katika big six timu itakayochukua pointi angalau 1 nyumbani kwa Wolves basi hao ni wanaume

By the way, Uwanja uliinama

GGM
Sisi tutabeba zote tatu..
 
Huyu jombaa wamruhusu tu aondoke.
Pamoja na kuitwa the best midfielder
Ila wamruhusua aende spain, itakuwa ni kweli jamaa hana furaha.
Penati kakosa na leo kiungo kapoteana kweli.
Moment kama hizi ndo huwa tunamkumbuka babu fergie, alikuwa haruhusu mchezaji aipande timu kichwani.. yaani ukileta usechu hauchezi na unauzwa.
Morali ya wachezaji imeshuka..tutegemee droo nyingi sana.
Yaan hadi usingizi umegoma kuja. Dadekii
Mambo mengine ni kujitakia tu.Man Utd na kiungo kama Pogba wapi na wapi.Hapa atafutwe Paul Scholes mwingine vinginevyo tutapambania nafasi za kucheza Europa hadi tukome
 
Back
Top Bottom