Mimi kwa madudu ya Pogba nitaendelea kumlaumu Ole, Aguero mchezaji mkubwa na bora pale City juzi tumeona anakoromewa na kutolewa kwa kutokukaba. Ole yupo anaendelea 'kuchua' kiburi cha Pogba.

Kama kocha anasema penalty zipigwe na Rashford si dharau yeye kwenda kuomba kupiga?

Ole alitakiwa kujenga nidhamu kwanza katika timu ndio mengine yafuate.
Fergie atabaki kuwa fergie tu.Nidhamu kwanza
 
Mechi ya leo tumecheza vizuri

Tumetengeneza nafasi za kutosha japo tumeshindwa kuzitumia

Naona United iliyoboreka ukilinganisha na ile iliyopigwa na Wolves msimu uliopita

Bado sijaelewa kazi ya VAR, mchezaji wa Wolves alizidi mkono wakati anatoa pasi ya goli

Kukosa penati ni jambo linalovumilika kwa mchezaji katika soka, swali ni je Pogba ameng'ang'ania kupiga penati wakati si mteule wa kocha au?

Hapa naona vidudu mtu wengi wanazengea zengea, lakini amini nakwambia katika big six timu itakayochukua pointi angalau 1 nyumbani kwa Wolves basi hao ni wanaume

By the way, Uwanja uliinama

GGM
Cha kukusaidia hapo "" kwamba mkono ulizidi Wakati anatoa pasi ya goli""
Offside Inakuwa pale tu kiungo ambacho kinaweza kufunga kikizidi.
Sasa mkono Hauwezi kufunga ndo mana haikuwa offside.
So mkono unapozidi sio offside.
 
Kuna mtu alinibishia sana kwamba lukaku kuuzwa ni sahihi nafikir kajionea leo

Martial hawez kuwa striker bado anasumbuka kucontrol mpira anapoteza hovyo mipira ni bora kubak na lukaku anaweza kukupa msaada mipira ya vichwa kuliko kubak na mtu wa kudrible
Hata kama tukifungwa mia..lukaku hakuwa mtu sahihi kubaki MAN U..ni bora alivyouzwa.

Lukaku hakuweza kuonelana kwny mechi ngumu kama hizi..huwa anapotea kabisa.!!
Usimtetee mkuu.
 
Binafsi nina machache ya kuzungumza..

1.Sikubaliani na Kocha kumchezesha Martial kama striker..jamaa hajitumi vya kutosha..out of 3 open chances huwa anafunga moja..au asifunge kabisa! He's not good enough kumuamini..ni mara mia Rashford acheze pale mbele.!

2.Lingard hamna kitu pale kabisa!! Sijajua kwann mpk leo anacheza zaidi ya dk 70.
Adreas pereira ni bora kuliko yeye..maana hata kwny ggame ya Chelsea alitoa assist moja nzuri..huyu lingard dahh!! Hamna kitu.

3.Kocha amrudishe Daniel James kwenye position yake(hii ni mara ya tatu nasema)..dogo hayupo comfortable kwenye RW..hata yeye alishaaema amezoea kucheza LW!

4.Back 4 yetu iko vizuri pia DeGea yuko poa..sina shida nao.

5.Wakati umefika ss FRED arudi kikosini..tuone uwezo wake msimu huu..maana Scot anajitahidi ila hes not YET good enough to create a good partnership with POGBA.

6.Kuhusu pogba kukosa penalt;Takwimu zinasema Pogba ndo mchezaji aliyekosa penalties nyingi(4) tangu msimu uliopita uanze...je wakuu mnahisi ni wakati muafaka kumtumia Rashford kupiga penalt!?cuz sijawahi kuona akikosa so far..


Mwisho; Wolves ni wagumu sana wakiwa kwao..tumejitahidi kuoata point moja BUT we DESERVED MORE!! we deserved all 3 points basi tu Attackers wetu hawakuwa makini..

GGMU GGMU
 
Mechi ya leo tumecheza vizuri

Tumetengeneza nafasi za kutosha japo tumeshindwa kuzitumia

Naona United iliyoboreka ukilinganisha na ile iliyopigwa na Wolves msimu uliopita

Bado sijaelewa kazi ya VAR, mchezaji wa Wolves alizidi mkono wakati anatoa pasi ya goli

Kukosa penati ni jambo linalovumilika kwa mchezaji katika soka, swali ni je Pogba ameng'ang'ania kupiga penati wakati si mteule wa kocha au?

Hapa naona vidudu mtu wengi wanazengea zengea, lakini amini nakwambia katika big six timu itakayochukua pointi angalau 1 nyumbani kwa Wolves basi hao ni wanaume

By the way, Uwanja uliinama

GGM

Katika sheria za offside kuzidi mkono sio offside but viungo vengine vyote (Kichwa, Mguu, tumbo, mgongo n.k.) vikizidi ni offside.
 
Kazi yake ni kuongeza spidi ya kushambulia.Huyo makocha wote waliotangulia lazima wamuanzishe Van gaal,Mourinho n.k.Siyo wa kumbeza hata kidogo labda kwa wewe unayeangali sijui kutuliza sijui bla bla gani ila anawekwa kwa mkakati huo kwanza mengine baadae.Mcheki akipata mpira jinsi anavyoukokota fasta kuelekea lango la wapinzani.Hata mimi kabla nilikuwa bambeza ila baadae nikagundua kazi yake ni ya kipekee sana nikapiga zangu kimya.
Still lingard is worse kulingana na options zilizo kwenye soko.

He's not a United Standards.
 
Binafsi nina machache ya kuzungumza..

1.Sikubaliani na Kocha kumchezesha Martial kama striker..jamaa hajitumi vya kutosha..out of 3 open chances huwa anafunga moja..au asifunge kabisa! He's not good enough kumuamini..ni mara mia Rashford acheze pale mbele.!

2.Lingard hamna kitu pale kabisa!! Sijajua kwann mpk leo anacheza zaidi ya dk 70.
Adreas pereira ni bora kuliko yeye..maana hata kwny ggame ya Chelsea alitoa assist moja nzuri..huyu lingard dahh!! Hamna kitu.

3.Kocha amrudishe Daniel James kwenye position yake(hii ni mara ya tatu nasema)..dogo hayupo comfortable kwenye RW..hata yeye alishaaema amezoea kucheza LW!

4.Back 4 yetu iko vizuri pia DeGea yuko poa..sina shida nao.

5.Wakati umefika ss FRED arudi kikosini..tuone uwezo wake msimu huu..maana Scot anajitahidi ila hes not YET good enough to create a good partnership with POGBA.

6.Kuhusu pogba kukosa penalt;Takwimu zinasema Pogba ndo mchezaji aliyekosa penalties nyingi(4) tangu msimu uliopita uanze...je wakuu mnahisi ni wakati muafaka kumtumia Rashford kupiga penalt!?cuz sijawahi kuona akikosa so far..


Mwisho; Wolves ni wagumu sana wakiwa kwao..tumejitahidi kuoata point moja BUT we DESERVED MORE!! we deserved all 3 points basi tu Attackers wetu hawakuwa makini..

GGMU GGMU
Umegusa sehemu zote muhimu.
 
Back
Top Bottom