Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,570
- 10,506
Yasipotimia je, uzuri wa humu ukisema jambo lisipotokea unajioiga banBado miezi 3 maandiko yangu yatimie.
Yasipotimia je, uzuri wa humu ukisema jambo lisipotokea unajioiga banBado miezi 3 maandiko yangu yatimie.
Msije mkaikataa hii timu badae
Inabidi tu make sure ..tuna piga izi pimbi zoteeeView attachment 1178560
HahahaaUmenikumbusha timu yangu 1 iko mahala flani hivi inaitwa "Makelele FC/Simba SC"
Hakuwa naoIla Mourinho alikuwa ana hao quality players?(natania tu)
Huyo boya amenitafuta tangu jana Mkuu, nikampotezea, leo Nimeona nimtambue kwa uboya wakeTaratibu mkuu
Na huo ndo ukwl wengi hawatak kukubali.. Yan itachukua miaka na miaka man United kua bingwa wa ligi.. Ndo yanayo mkuta mpk saiv Liverpool.....siwezi kusahau maneno ya Brendan Rodger, alisema baada ya Ferguson kustaafu United itapita kwenye wakati mgumu sana. Na ndio tunachokiona kwa sasa.
Na akaongeza, united fans mnabidi muwe na roho ngumu kama wale wa liverpool na Milan ya Gang Chomba. Ufalme wenu umeshafika mwisho. Itapita miaka na mikaka kurudia enzi zenu.
Wale walikuwa wanalalamika kuwa Kocha atawakimbiza tu wachezaji mazoezini Mpo wapi? ...Manchester United wachezaji wetu wapo fit sana nadhan tumeonada jinsi wachezaji walivyopambana bila kuchoka pia hii pressing Imesaidia sana kubadili mchezo wetu.... We are Manchester united....see you at the top
Ngoja nimalizane na noma yangu kwanza nipate nguvu za kutoa pole ukuUpo ndugu Ollachuga Oc naona Leo unafurahia maana mnaenda kumtandika yule kibonde ,upate nguvu yakuja kuleta vurugu humu
Sema ndo yaliyomkuta Liverpool. Ametoka kwenye huo muda wa mpito alioupitia kwa muda. Ndo maana ameanza win trophies.Na huo ndo ukwl wengi hawatak kukubali.. Yan itachukua miaka na miaka man United kua bingwa wa ligi.. Ndo yanayo mkuta mpk saiv Liverpool
Kashasahau tayariAlikuwa mstari wa mbele ,kina Sanchez waondolewe , sasa hiv kageuka
Endelea na ramli zako. Ole alishajifunza msimu uliopita. Yalimtokea puani.. hawez rudia makosa
Rashford anasikitisha sana.Lukaku ni bonge la striker pamoja na ubovu wake goli 10 uhakika sasa hawa wenye dna ya manchester hata goli 7 kufikisha bila penat mtihan
Endelea kutamani kuokota Meli Ubungo
Uzuri haka kawimbo huwa kapo kila msimu..
WATU WAANZA NA MUNKARI TUNAVYOZIDI KWENDA UKINGONI, wanaanza Ole sio kochä.
Nawaambia hivi, ikifika decemba kuelekea mwakani MTAMKUMBUKA hata Lukaku...
Leo ubingwa mapeeema sana...yuke kilaza Martial hayupo. Na akafie huko huko.View attachment 1194219