Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Njoo kule jukwaa la Arsenal ulete Table tena tunakusubiriUkimuuza Pogba umekufa..hapo katikati, jamaa linajua sana kumiliki mpira na kupeleka timu mbele. Ukitaka kujua umuhimu wa Pogba angalia akipoteza mpira inavyokuwa hatari kweye lango letu. Hakuna mwingine wa ku-block. Ile mechi ya CP angalia alivyopoteza tukapigwa.


