Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Pogba akikosea lazima tuseme, mchezaji yoyote akikosea lazima tutasema. Pogba amefanya makosa mengi sana ambayo kuyafumbia macho inahitaji ujasiri wa hali ya juu
Kucheza namba sio yake haiwezi kuwa leseni kwake kupoteza mipira. Tena mahali anapochezeshwa kwa sasa ni nyuma kidogo kwa hiyo hana pressure ya kudhibitiwa kama kule mbele alipokuwa anacheza
Role aliyopewa ni kama ya Pirlo aliyokuwa nayo Juventus. Yeye kinachomshinda ni nini na Pirlo aliwezaje.
Kucheza namba sio yake haiwezi kuwa leseni kwake kupoteza mipira. Tena mahali anapochezeshwa kwa sasa ni nyuma kidogo kwa hiyo hana pressure ya kudhibitiwa kama kule mbele alipokuwa anacheza
Role aliyopewa ni kama ya Pirlo aliyokuwa nayo Juventus. Yeye kinachomshinda ni nini na Pirlo aliwezaje.


