Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Rashford sio mshambuliaji wa kutegemea mkuu,mimi nilikuwa nadhani labda Ole ameuza Lukaku bila kusajili akimtegemea hata Sanchez, kumbe tegemeo lake ni Martial na Rashford 😂😂😂

Huyo Rashford msimu huu anaweza kuzidiwa magoli hata na dogo James, Rashford amekuzwa sana inafika muda anajiona kama Ronaldo vile. Ni mchezaji wa kawaida sana. Hana uhakika wa namba katika timu nyingi sana katika EPL. Ila kinachombaba ni uingereza wake.
Wanamuacha striker ambaye ana uhakika wa kufika goal hata 20(bila penalty) kwa msimu😂😂 unabakiwa na mtu hata goal 15 (+ penalty)hawezi fikisha.
Acha sindano iwaingie
 
Rashford sio mshambuliaji wa kutegemea mkuu,mimi nilikuwa nadhani labda Ole ameuza Lukaku bila kusajili akimtegemea hata Sanchez, kumbe tegemeo lake ni Martial na Rashford

Huyo Rashford msimu huu anaweza kuzidiwa magoli hata na dogo James, Rashford amekuzwa sana inafika muda anajiona kama Ronaldo vile. Ni mchezaji wa kawaida sana. Hana uhakika wa namba katika timu nyingi sana katika EPL. Ila kinachombaba ni uingereza wake.
Mkuu kweli hawa madogo wamekukera, mpaka usahau ku bold
 
Aston Villa si naye kapanda daraja(tena kwa kupitia playoff alipomchapa Lampard na Derby County yake?). Kwa kumbukumbu zangu, Norwich City aliongoza akafuatiwa na Sheffield United. Sasa kama kawapiga namba moja na namba Mbili wa championship msimu uliopita, atadhindwaje kumpiga aliyetinga ligi kuu kwa mlango wa playoff? Kumbuka hata namba tatu Aston Villa hakuichukua, ilibebwa na Leeds United.
Basi usichokijua , astonvilla kasajiri wachezaji 12 kuliko hao Norwich na Shefflied , tena ni wachezaji wazuri tu ,

Nakupa homework fatilia mech za astonvilla
 
Wanamuacha striker ambaye ana uhakika wa kufika goal hata 20(bila penalty) kwa msimu😂😂 unabakiwa na mtu hata goal 15 (+ penalty)hawezi fikisha.
Acha sindano iwaingie
Tena pamoja na kwamba ana first touch mboovu.

Ole ameyumba sana kwakweli.
Sijui kama na Fred yupo kwenye mipango yake au anataka kumtoa ndio tujue MUFC imemalizika kabisa.
 
Aston Villa si naye kapanda daraja(tena kwa kupitia playoff alipomchapa Lampard na Derby County yake?). Kwa kumbukumbu zangu, Norwich City aliongoza akafuatiwa na Sheffield United. Sasa kama kawapiga namba moja na namba Mbili wa championship msimu uliopita, atadhindwaje kumpiga aliyetinga ligi kuu kwa mlango wa playoff? Kumbuka hata namba tatu Aston Villa hakuichukua, ilibebwa na Leeds United.
Hizi mech 2 mfululizo anazocheza Chelsea na hawa waliopanda daraja zisikudanganyeni mkaona mna timu,

Nilishawafanyia uchambuzi makini ,ikaonekana mtamaliza nafas ya 10,

Astonvilla kasajiri kuliko wenzake , ana wachezaji wazuri ,sina hakika kama kwa villa atashinda kirahis ikiwa Norwich & shefflied wanamuhenyesha , niliwaambia mtachukua point 4-6 kwa hawa wawili ,ila wolves ,Leicester , Everton, Watford , westaham ,mtagawana point au mpigwe,

Top 6 sion mtakayemfunga .
 
OGS does not have the innovations required to turn this club around. And I very much believe he is seating there trying to copy paste and get some direct instructions from Sir Alex only that he has learnt not to keep mentioning this fact as of recent.

He is not Himself, He has got to discover himself if he is do something good for this great club.
 
His 90's class mates have lost objectivity because they also have the same problem, now they do not mention him as a problem, if you listen to them, all they mean is that Man U needs a whole new batch of players and offload the current squad.

Only Paul Ince is himself.
 
Bob Phelan should be left to go, it doesn't make sense for him to work under his student, it paralyses the coaching team functioning.
 
mechi 16 anapata ushindi mech 3 tu.
Waaaiiiiiiiii Mou arudishiwe tu kibarua chake.
Kuna mtu nilimsikia akisema tusishangae Ole akatolewa kafara na Jose akarudishiwa mikoba.

Kuna mtu alisema humu Ole sio kocha ni mhamasishaji tu,ilikuwa mapema sana sikumuelewa. Ila alivyoanza kujikombakomba kwa Pogba, ooh nataka kujenga timu kumzunguka Paul ndio nikajua hapa hamna kitu.
 
Kwani mnawaza ubingwamimi nazani saivi man u ni ishindanie tu proud ata ibaki Top 6.
Tumeshacheza mechi 4 kati ya 38 tayari Man City wameshatuzidi point 5 ,Kama Liverpool akishinda atakuwa ametuzidi pointi 7,Imagine baada ya mechi 38 tutakuwa tumezidiwa pointi ngapi ?
 
Kuna mtu nilimsikia akisema tusishangae Ole akatolewa kafara na Jose akarudishiwa mikoba.

Kuna mtu alisema humu Ole sio kocha ni mhamasishaji tu,ilikuwa mapema sana sikumuelewa. Ila alivyoanza kujikombakomba kwa Pogba, ooh nataka kujenga timu kumzunguka Paul ndio nikajua hapa hamna kitu.
He should be a man and resign.
 
Kwani mnawaza ubingwamimi nazani saivi man u ni ishindanie tu proud ata ibaki Top 6.
Ubingwa sio issue,timu 38 bingwa ni mmoja tu the problem is how we play & how our manager make mistake every week
 
Kwenye timu yenu kuna watu wanaangua nazi na madafu alafu kuna wapuuzi wadondosha makuti makavu.Pogba mnamlaumu lkn kumbukeni achezi peke yake,anacheza na wenzake.
 
Back
Top Bottom