Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,060
- 43,477
Ukiangalia kipindi Cha Fergie sio lazima uwe na kikosi Bora kuchukua ubingwa, just tusipoteze mechi kizembe na watoto wadogo. Hata hao wakubwa wakitufunga au kugawana point tutarank juu.Dah man utd tuna maneno,sioni watu wakiongelea mapungufu yetu eneo la kati. Hii chelshit sio kikosi cha kwanza kwa nijuavyo mimi.
Bado tulihitaji kuwa na Bruno. Daemusin kama niaminivyo mimi,kipimo chetu kamili ni mbweha.
GGMU

