Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu kumbuka mwanzo ulikuwa unapigania overhaul ya squad nzima sasa imefanyika malalamiko ya nini ?

Ole ni Mwalimu Mzuri tu kinachomwangusha ni quality of players tu
Harry maguire anahusika na nini hapa umetia wivu

Kwa upande wa lukaku siku ya kwanza tu nilijua kocha kabugi huwez kujenga timu bila wajuz angalia klopp alivyoanza na liverpool alichomoa wazoefu wabovu taratibu huyu sosha dirisha moja kafukuza wazoef si chini ya wa 5

Hilo jambo lipo arsenal kama la sosha nako kule hamma jipya yamejaa mazeee ya bure tu
 
Watahamishia kwako Mkuu, nawe si mchezaji au hujioni hapo kwenye pp yako
Hii timu kwa kulaumu wachezaji mnaongoza dunia nzima, kaondoka lukaku na sanchez lawama zote kwa Lingard na pogba, ngoja pogba aondoke tuone mtahamishia kwa nani lawama zenu, hahaha!
 
Am prepared for this
Screenshot_20190831-164551.jpeg
 
Tuwe wakweli tuacheni ushabiki,hata kama hatuujui Moira,hivi ole anategemea nini kutoka kwa rashford?
Watakuja watu watakwambia ukimuangalia kwa jicho la 3 anaujua,sasa kila mchezaji wa man utd lazima tumuangalie kwa jicho la 3 tutambue kama anajua ama la wakati wapinzani kwa macho 2 tu unaona wanakusudia nini.
Eti jicho la 3.Yale yale ya Lingard unaambiwa ni hatari sana akiwa hana mpira. Man hata aje kocha gani bado mtacheza the same, tatizo sio kocha.
 
Back
Top Bottom