interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,409
Acha utani sasa, inamaana Chelsea yetu haitatuchania mikekaMnatuchania tu mikeka![]()

Acha utani sasa, inamaana Chelsea yetu haitatuchania mikekaMnatuchania tu mikeka![]()

Hakuna kocha mwenye akili anayeweza kumuuza lukakuLukaku ni bonge la striker pamoja na ubovu wake goli 10 uhakika sasa hawa wenye dna ya manchester hata goli 7 kufikisha bila penat mtihan
Unatutafuta Arsenal , sisi tumeondoa deadwood karibu 90% ,na tunaleta quality tupu,Harry maguire anahusika na nini hapa umetia wivu
Kwa upande wa lukaku siku ya kwanza tu nilijua kocha kabugi huwez kujenga timu bila wajuz angalia klopp alivyoanza na liverpool alichomoa wazoefu wabovu taratibu huyu sosha dirisha moja kafukuza wazoef si chini ya wa 5
Hilo jambo lipo arsenal kama la sosha nako kule hamma jipya yamejaa mazeee ya bure tu
Chelsea timu tunayo.Acha utani sasa, inamaana Chelsea yetu haitatuchania mikeka![]()
Eti ole soksi dah ....Hahahahahahahahah
Alikuwa mstari wa mbele ,kina Sanchez waondolewe , sasa hiv kageukaUyu shabiki mwenzetu huwa ni kigeu geu sana![]()
We naye ukaenda kumpa man utd win, ulikuwa na pesa za mchezoLitimu LA kis&nge sana hili Mama&, bora washuke daraja tu..
|
Nimewahi kusema kuwa Smalling ni bora kuliko LindelofMi nilikuwa namkubali sana smalling mipira ya juu anacheza ila huyu lindelof hamna kitu labda solskjaer anatishika na yale matatuuu anajua bonge la mwamba
Hahaha mkuu unanivunja mbavuMi nilikuwa namkubali sana smalling mipira ya juu anacheza ila huyu lindelof hamna kitu labda solskjaer anatishika na yale matatuuu anajua bonge la mwamba
Stupid is your father who fucked your bitch mom and then stupid kid was bornhahahahaha eti lingard should come in for him.....stupid
Leo Tammy ataondoka na mpira.Lkn Ollachuga tunajua rashid hafiki goli 15,
Vip tamy ,jirud & Willian nan atafikisha goli 10? Usiwacheke man u tu



Nataman tufike December kwa mwendo huu ili tuwatambie haters View attachment 1178589
Taratibu mkuuStupid is your father who fucked your bitch mom and then stupid kid was born
Hahahaa.. Mnaanza kutukanana wenyewe kwa wenyewe. Civil warStupid is your father who fucked your bitch mom and then stupid kid was born


