Kama kweli utetezi wa man united kutomsajili Bruno Fernandez ni passing accuracy yake basi kuna tatizo mahali vichwani mwa wafanya maamuzi wa united.
Hao hao ndio wamekubali Fred aje united.. Alexis mapesa pia, lakini wanamkataa BRUNO kisa LINGARD anajua kunyonya vidole.
Tuombe majeruhi kwa key player wetu yapite kushoto japo yameanza yasizidi sana... Tutachonga viazi kwa wale watoto kuziba nafasi.
January wasilete upuuzi waongeze watu.
 
Hii Man united itaishia nafasi ya saba..
Mm nauhakika Chelsea lazima amalize nafasi ya 8-10 ,

Mwanzo kabisa wa msimu niliweka hoja zangu kule jukwaa lenu mkanikatalia , siku zinavyoenda unaanza kuelewa .

Norwich kakubana ukapata 3-2,

Everton, wolves ,Watford ambayo Ismail sarr ,welbek wameanza KUCHEZA, Leicester (huyu nilikuambia ukichoropoka Sare ) kweli ulipata sare, bornamouth , astonvilla , hawa ukikaza unaondoka na point 1 (sare) top6 wote utawagawia point 6 -4 ,
 
IMG_20190828_032449_549.jpeg
 
Mm nauhakika Chelsea lazima amalize nafasi ya 8-10 ,

Mwanzo kabisa wa msimu niliweka hoja zangu kule jukwaa lenu mkanikatalia , siku zinavyoenda unaanza kuelewa .

Norwich kakubana ukapata 3-2,

Everton, wolves ,Watford ambayo Ismail sarr ,welbek wameanza KUCHEZA, Leicester (huyu nilikuambia ukichoropoka Sare ) kweli ulipata sare, bornamouth , astonvilla , hawa ukikaza unaondoka na point 1 (sare) top6 wote utawagawia point 6 -4 ,
Yani ao wote ulowataja watachezea kipigo nje ndani na wewe utashuhudia ..wewe ukimaliza ligi juu ya Chelsea bas itokee tu neema ya marefa na VAR iwe upande wenu..

Kila la kheri Chelsea
 
Sanchez to Inter: here we go!
Alexis Sanchez will become new Inter player, done deal! It will be a simple loan (NO buy option) until June 2020 from Man United and Inter will pay €5M of his €12M wage. He’ll arrive tomorrow in Milano to sign his contract, the deal is done.
#Sanchez #AlexisSanchez #Inter #MUFC
•••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
 
Hao hao ndio wamekubali Fred aje united.. Alexis mapesa pia, lakini wanamkataa BRUNO kisa LINGARD anajua kunyonya vidole.
Tuombe majeruhi kwa key player wetu yapite kushoto japo yameanza yasizidi sana... Tutachonga viazi kwa wale watoto kuziba nafasi.
January wasilete upuuzi waongeze watu.
Hivi ni mchezaji gani Man u ana passing accuracy ya above 75% ukiondoa Pogba na Mata ?
 
Hao hao ndio wamekubali Fred aje united.. Alexis mapesa pia, lakini wanamkataa BRUNO kisa LINGARD anajua kunyonya vidole.
Tuombe majeruhi kwa key player wetu yapite kushoto japo yameanza yasizidi sana... Tutachonga viazi kwa wale watoto kuziba nafasi.
January wasilete upuuzi waongeze watu.
January Ole asipofanya maamuz magumu kuleta wachezaj atleast wawili top4 hataisikia tu, nilishangaa sana ni kwa vip akumsajiri Eriksen, jamaa ana assists na ku'score, yaan kila nikimuona Lingard kwenye list uwa namkumbuka Eriksen, timu yetu ina uingereza mwingi, ila binafsi baada ya kuondoka mzee Ferg aya niliyatarajia lazima tupite kipind kigumu sana mpaka kuja kukaa sawa
 
Club tajir namb 1...tatzo nn sijui aya tukamkosa Pepe, man u inaongoza kwa tetes za usajir pia hv kwann Man u ata ishindanie mchezaj na na timu ndog km Watford au Burnley basi mchezaj atakwend uko sio Man
 
Our team needs a lot of cross, dribbling and shooting practice.. they even forgot how to take penalty Olesendeka Please exclude Lingard from practice sessions and games. He is a distraction in the team. Always joking and dancing around.. He is a bad example for our young players. He has no seriousness during practice and no focus during the game. He even lacks skills and physics to play in his position.. He has fairly fast pace and that’s it.Hajui mpira kiujumla bora hata Mybin Kalengo wa Yanga au Iddi Nado wa Azam
 
Ole ole olesendeka. Huyu kocha sijui anatumia ubongo gani. Sasa martial kaumia na yeye anamuuza sanchez, ili forwad awe greenwood. Hahaaaà, ngoja tukae kimya
Timu imekwisha hii.

Kama tukimaliza hata nafasi ya sita msimu huu basi ni sawa na ubingwa kwetu.

Hivi Ole anategemea Greenwood amsaidie amalize top4?

Kweli ndio maana Zlatan anatamani kurudi kuisaidia timu.
 
Back
Top Bottom