Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

IMG_6221.JPG
 
Huna timu ya kupata hata droo kwa top 6

Nafas ya 10 yenyewe upambane
Nikimaliza namba 10 utamaliza 11. Nikimaliza nne utamaliza namba 5. Mark my words. Ngoja mechi za mchangani za Alhamis zianze ndo utajua.
 
Gimenez jose huyu bek namuelewa sana wa atletico madrid

Mourinho alimtaka kama kawaida ed woodward alizingua
 
Habari zenu wakuu..

i hope Machungu ya kipigo cha jana atakuwa yamepungua...nilipotea kidogo..Nina point Chache kulingana na ile mechi.

Points zangu ni zile zile za siku zote na Nashukuru kocha ameanza kuzifanyia kazi baadhi ya hizo.

1.DANIEL JAMES;
niliwahi kuzungumza humu zaidi ya mara tatu kwamba huyu dogo inapaswa Achezeshe kwenye natural position yake aliyozoea(LW).Kocha lifanya jambo lamaana kumrudisha ndo hadi akatusawazishia goli.

2.JESSE LINGARD;
Nashindwa kuelewa huyu mtu anafanya nini Man U mpk leo na yupo kwenye first 11daily..wkt tuna MATA,ANGEL GOMES,CHONG,GREENWOOD,PEREIRA Ambao wakipewa nafasi wanaweza kuperform kuliko yeye.

3.POGBA;
Narudia tena..pogba sio CDM..tunahitaji mtu wa kumfungua ,awe free ili afanye makeke yake,kuliko kubaki chini kama Ng'olo Kante..!

4;RASHFORD;
Ilikuwa ni penati muhimu sana..ni penate yake ya kwanza kukosa..SIMLAUMU.


NEXT MATCH; SOUTHAMPTON..ni opponent mgumu sana hasa akiwa nyumbani..but i hope tutaondoka na points tatu muhimu..

GGMU GGMU GGMU GGMU.
Sema match itakua ngumu kidogo ila tunashinda kwa maana hata kwenye kubet amepewa odd 2 man u
 
Sema match itakua ngumu kidogo ila tunashinda kwa maana hata kwenye kubet amepewa odd 2 man u
Ni kweli match itakuwa ngumu sana mkuu..ila naona tukifanya mabadiliko itasaidia kdg..

1.Lingard akipigwa benchi au akaingia dkk 10 za mwisho

2.Nemanja matic na Fred wakarudi kumsaidia pogba kwenye midfield

3.Dan James akacheza LW..rashford akacheza striker(martial ameumia)
 
Back
Top Bottom