Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nilijua tu chelsea akipotea na mourinho anapotea hapa tukutane mwakani timu kiuhalisia waonatakiwa kuivaa jezi ni wawili tu de gea na matic wengine wanacheza kama wanalazimishwa tu


Rashford kavimba kichwa sana viingereza shida sana
Fukuza wote kuanza upya si ujinga
 
Acha niseme kidogo.......wengi mnamtupia lawama kocha wetu mpaki basi maarufu mjini manchester lakini mimi kama mshabiki wa manchester united naona tatizo lipo kwa wachezaji sana kuliko kocha. Wachezaji wapo wapo tu hawajitumi yaani kifupi kama giggs alivyosema jana kama sio juzi timu hii wachezaji hawana morale ya ushindi ile damu ya kucheza kufa na kupona ukivaa jezi yenye nembo ya manchester united vijana wetu wa sasa pale hawana kabisa na kama wapo wakuhesabika sana, damu ya manchester ni ipi? Waliongalia na wanaongaliaga mechi za everton atakubaliana nami Keane anacheza mpira wa damu damu yaani ana roho bado ya ki- OT kabisaa. Wachezaji wanaruka ruka tu uwanjani ndo maana hata mbinu mbadala za kocha huwezi kuona zikifanikiwa maana viwango duni sana tena sana. Kocha nae anamapungufu yake hilo liko wazi sana na mfumo wake wa kutoa mataili ya skania wakati safari bado ndefu tena unaeshindana nae kala umeme. NITAENDELEA KUSHABIKIA MANCHESTER MPAKA KIELEWEKE NA MOYO UNANAMBIA KABISA KWAPA MOJA LAZIMA MSIMU HUU PASI NA SHAKA
NB: TUWE NA SUBIRA
#GGMU#
Carabao mneshatoka hilo kwapa utanyanyulia wapi?
 
Eti hapa alisimama akarudi nyuma chance ya wazi hii kabisa.
Msimu uliopita timu ilitoa suluhu nyingi mno ambazo kama sio uzembe na kupoteza nafasi za wazi zilikuwa ni ushindi..

Tatizo pia limeendelea kubaki vilevile ni kama wachezaji wamekutana tu kutoka mtaani na kuanza kucheza. Hamna umoja kitimu kabisa.
 
Msimu uliopita timu ilitoa suluhu nyingi mno ambazo kama sio uzembe na kupoteza nafasi za wazi zilikuwa ni ushindi..

Tatizo pia limeendelea kubaki vilevile ni kama wachezaji wamekutana tu kutoka mtaani na kuanza kucheza. Hamna umoja kitimu kabisa.
Unafika golini unaanza kuremba
 
Acha niseme kidogo.......wengi mnamtupia lawama kocha wetu mpaki basi maarufu mjini manchester lakini mimi kama mshabiki wa manchester united naona tatizo lipo kwa wachezaji sana kuliko kocha. Wachezaji wapo wapo tu hawajitumi yaani kifupi kama giggs alivyosema jana kama sio juzi timu hii wachezaji hawana morale ya ushindi ile damu ya kucheza kufa na kupona ukivaa jezi yenye nembo ya manchester united vijana wetu wa sasa pale hawana kabisa na kama wapo wakuhesabika sana, damu ya manchester ni ipi? Waliongalia na wanaongaliaga mechi za everton atakubaliana nami Keane anacheza mpira wa damu damu yaani ana roho bado ya ki- OT kabisaa. Wachezaji wanaruka ruka tu uwanjani ndo maana hata mbinu mbadala za kocha huwezi kuona zikifanikiwa maana viwango duni sana tena sana. Kocha nae anamapungufu yake hilo liko wazi sana na mfumo wake wa kutoa mataili ya skania wakati safari bado ndefu tena unaeshindana nae kala umeme. NITAENDELEA KUSHABIKIA MANCHESTER MPAKA KIELEWEKE NA MOYO UNANAMBIA KABISA KWAPA MOJA LAZIMA MSIMU HUU PASI NA SHAKA
NB: TUWE NA SUBIRA
#GGMU#
Kwapa lipi hilo??????
 
Mou na wachezaji wake wote hovyo kabisa hataki kubadilika mfumo wa kupaki basi siku hizi haututaki au wachezaji waliopo hawauwezi, ndo mana kila tukipaki tunafungwa kashidwa arsenal tu sababu ni kibonde sana nae wahedi .
Na hio UEFA tutoke tu maana tunaweza kutoka na aibu ya karne huko.
Usijifiche mgongoni mwa arsenal!!!!!
Hukucheza nae Jana wala juzi!!!!!
Akili mchanga
 
Sidhani kama kuna timu kwa sasa inakuwa roho juu inapokutana na united nisiwe muongo hata timu za championship zinajiamini sana zinapokutana na nyie
Mmepoteza makali kabisa!!!!!!!
 


Kuna rashford kuna lingard. Watoto kilasiku hawapati game maturity

Lingard ni mzuri kwa counters. But tukiwa tuna posses hawez kucheza.

Lingard alitakiwa acheze swansea huko.

Is an average player.
Safi mkuu hujakosea
 
Aibu kubwa msimu huu, man city ndo hana mpinzani hivo, na atachukua ubingwa nadhani na gemu kumi mkononi
 
25550466_1504885076227452_4518117911279722392_n.jpg
 
Back
Top Bottom