Salam!! Wakuu
Kwanza,,,,
Niwatakie Merry Christmass and Happy New Year(2018)
Mashabiki wote wa Manchester United na Soka kiujumla..
Imeumiza sana hii hasa kwa kipindi hiki



The Citzens washabeba ndoo tayari...
Since the retirement of SAF
Tumejaribu kujenga utamaduni wa wenzetu,,,
Kwamba "Next Season"



hili halina ubishi,,,,
Kuna kitu kina shida OT..
Either Josee au Avarage Players,,
Mpira wa sasa unahitaji wanaume wa mpira angalau ubebe Silverware...
Lakini najiuliza,, hivi Special Juan,, Pogba,, Mkhi,, Herrera,, Martial,, Matic,, Lukaku,, na wengineo timu inapitia tunayopitia?? Ukimtoa Silva,, Kun na KDB pale Etihad waliobaki wote wameongezeka kimpira,, kwetu kuna nn??
NB: Sisemi Josee ana shida,, ila kwa nn timu ikose muunganiko ?? Nan anabeba lawama?? Ninachokiamini kila mwanadamu ana highs na lows huenda nae ypo katika lows kwa kipindi hiki,, tumvumilie ila mabadiliko pia yanahitajika...
Kocha yeyote mwenye resources kushindwa kutoa kinachotazamiwa huwezi ukabaki salama,,
Congrats PG
Sorry Josee
Sorry Omog
Sorry Zizzou
@GGMU