Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread



Wachezaji hawafungui vyumba...
Hii mechi kama atukupata ushindi nitamlaumu sana Mourinho. Tunakamata counter attack nyingi lakini utakuna anakimbia mchezaji mmoja wengine wanarudi nyuma kukaba nafasi
 
ef1b67c9e6d281c2b1046ec7aafad690.jpg
856f21c79567a7894ab278aad9868213.jpg
 
Mou ameamua kulinda goli, maana dogo alikuwa anakimbiza pale Mbele, Andy atalinda tu kiungo.
 
Back
Top Bottom