Ni mechi ngapi umeshinda goli tano msimu huu, au unadhani hayo ni maandazi.
Acheni mpira na matokeo ya mdomoni huo ndio uwezo Wetu ....
Utakuwa ni football elite Wa kwanza duniani kutrnganisha performance ya team na uwezo Wa kocha.....
Amini nakwambia Mourinho Poor tactics ndio Adui namba moja Wa Manchester kufanya vibaya msimu huu... Kacheki Game ya uefa tuliyofungwa, team inapack basi mno.
Njoo kwenye game ya Bristol city same tactics.
Bado hatujapata coach Mwenye kuingia kwenye DNA ya Manchester united...