Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Hahaha!! Super Mario"Barcelona is the only team in the world who have two stadiums, Camp Nou for the matches and Santiago Bernabeu for the training."
Mario Balotelli.
Hahaha!! Super Mario"Barcelona is the only team in the world who have two stadiums, Camp Nou for the matches and Santiago Bernabeu for the training."
Mario Balotelli.
Wapuuzi wamenikera jana kwa kumnyima mipira aisee, wakat yeye kawatengenezea clear chances.ila lukaku anazidi kuwa mtamu siku hadi siku
Man City hana mpinzani.yani kama mikosi ivi akifungwa chelsea na sie tunafungwa akisuluhu na sie tunasuluhu yani huyo ndio tunaendana nae yule anaeongoza ligi hatuna hata mpango nae wa kumfukuzia
Mpaka hapa alipofikia. Heshima kwakeMan City hana mpinzani.
Pamoja mkuuMpaka hapa alipofikia. Heshima kwake
Halafu ni kama wanafanya utani,unaona anakosa goli la wazi halafu anakenua meno. Hata Macheda hakuwa na utoto wa hivi.![]()
![]()
![]()
Kuna rashford kuna lingard. Watoto kilasiku hawapati game maturity
Lingard ni mzuri kwa counters. But tukiwa tuna posses hawez kucheza.
Lingard alitakiwa acheze swansea huko.
Is an average player.
Tumebaki na competitions 3, UEFA, EPL na FA. Sioni sehem tunanyanyua kwapa this season hapo. Truth be said..Acha niseme kidogo.......wengi mnamtupia lawama kocha wetu mpaki basi maarufu mjini manchester lakini mimi kama mshabiki wa manchester united naona tatizo lipo kwa wachezaji sana kuliko kocha. Wachezaji wapo wapo tu hawajitumi yaani kifupi kama giggs alivyosema jana kama sio juzi timu hii wachezaji hawana morale ya ushindi ile damu ya kucheza kufa na kupona ukivaa jezi yenye nembo ya manchester united vijana wetu wa sasa pale hawana kabisa na kama wapo wakuhesabika sana, damu ya manchester ni ipi? Waliongalia na wanaongaliaga mechi za everton atakubaliana nami Keane anacheza mpira wa damu damu yaani ana roho bado ya ki- OT kabisaa. Wachezaji wanaruka ruka tu uwanjani ndo maana hata mbinu mbadala za kocha huwezi kuona zikifanikiwa maana viwango duni sana tena sana. Kocha nae anamapungufu yake hilo liko wazi sana na mfumo wake wa kutoa mataili ya skania wakati safari bado ndefu tena unaeshindana nae kala umeme. NITAENDELEA KUSHABIKIA MANCHESTER MPAKA KIELEWEKE NA MOYO UNANAMBIA KABISA KWAPA MOJA LAZIMA MSIMU HUU PASI NA SHAKA
NB: TUWE NA SUBIRA
#GGMU#
Hakukua na maana ya sub ya Herera, game bado ilikua open tuu. Sema kamuingiza jamaa ili team ilinde hilo goli moja, kitu ambacho night nonsenseUkumbuke wakati Smalling anaumia, sub zilikuwa zimeisha. Maana waliingizwa sub wachezaji watatu(Rashford, Mikky pamoja na Herera).
Hakuna kitu kama hicho, Msimu Wetu ndio umeishia hapa. EPL? UEFA? FA?Time is the best referee
Ahahaaaaaaaaaaah...manchester united ni timu iliyojengwa kwa misingi imara sio timu iliyozuka kwa pesa za mafuta hayo mambo yapo vi timu vidogo wangefanya hayo kwa van gal wala moyes na hawajawah kumsema kocha yoyote kama wafanyavyo wachezaji wa vi timu vidogo pale ni respect.
Ahahaaaaaaaaaaah...Carabao mneshatoka hilo kwapa utanyanyulia wapi?