Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi hii timu huwaga wanaenda training kweli?? Tangu nimekua shabiki wa united sijawahi kuacha mechi na filimbi haijapiga Ila leo nimetoka dah... Nimetukana njia nzima hapa naogopa ban tu ila nina hasira sana...
 
mou ni kibaka kama klop na wenger

wanapenda kubahatisha sana sio wahamasishaji
nakumbuka SAF ikifika muda flani akisimama halafu akiangalia saa yake na kuonyeshea ishara wachezaji mbona ilikuwa burudani
mou muda wote yupo yupo tu mtu unawaza mbona hatoi ukali na hamasa kwa wachezaji au na yeye ana beti?
Hakuna short cut toward success.
 
Game ilikuwa ya kushinda goli 5 hili goli la pili lisingekuwa tatizo
Ni mechi ngapi umeshinda goli tano msimu huu, au unadhani hayo ni maandazi.


Acheni mpira na matokeo ya mdomoni huo ndio uwezo Wetu ....


Utakuwa ni football elite Wa kwanza duniani kutrnganisha performance ya team na uwezo Wa kocha.....


Amini nakwambia Mourinho Poor tactics ndio Adui namba moja Wa Manchester kufanya vibaya msimu huu... Kacheki Game ya uefa tuliyofungwa, team inapack basi mno.


Njoo kwenye game ya Bristol city same tactics.


Bado hatujapata coach Mwenye kuingia kwenye DNA ya Manchester united...
 
Huwezi kumlaumu kocha hii game Martial,Lingard,Rashford wamekosa magoli ya wazi.Lini umeona City wanakosa nafasi kama hizi?

inafikia kipindi tuwe wakweli,mbinu za mou ni mbovu tu. hata kama wamekosa nafasi za wazi lakini timu imesimama nyuma muda wote ni kukaribisha mashambulizi mengi. kwanini asiruhusu timu yetu ikae na mpira walau kuua morali ya wapinzani
 
Hivi hii timu huwaga wanaenda training kweli?? Tangu nimekua shabiki wa united sijawahi kuacha mechi na filimbi haijapiga Ila leo nimetoka dah... Nimetukana njia nzima hapa naogopa ban tu ila nina hasira sana...


Kwanini glazer asiandike ujumbe kama ule wa Mo dewj
 
Ni mechi ngapi umeshinda goli tano msimu huu, au unadhani hayo ni maandazi.


Acheni mpira na matokeo ya mdomoni huo ndio uwezo Wetu ....


Utakuwa ni football elite Wa kwanza duniani kutrnganisha performance ya team na uwezo Wa kocha.....


Amini nakwambia Mourinho Poor tactics ndio Adui namba moja Wa Manchester kufanya vibaya msimu huu... Kacheki Game ya uefa tuliyofungwa, team inapack basi mno.


Njoo kwenye game ya Bristol city same tactics.


Bado hatujapata coach Mwenye kuingia kwenye DNA ya Manchester united...
Kwelo mkuu we wachezaji wanashambulia alf unatoa mshambuliaji unaingiza mkabaji? Unatuma meseji gani kwa waliobakia uwanjani?

Haka kahashtag ka [HASHTAG]#mouout[/HASHTAG] kaanze tu sasa
 
Na wataendelea kuwa bora hadi waache kucheza
Na nafikiri wakiangaliaaga mechi hizi hua wanaishia kucheka tu..mxieeew!!
Man city wenyewe wakiwa waanaongoza labda 3 ni kama vile ndio wao wamefungwa hizo 3, mwisho wa siku unakuta score board inasoma 6 -0, sababu ni kwamba hawacheki na kima wakisogelea goli
 
Ni mechi ngapi umeshinda goli tano msimu huu, au unadhani hayo ni maandazi.


Acheni mpira na matokeo ya mdomoni huo ndio uwezo Wetu ....


Utakuwa ni football elite Wa kwanza duniani kutrnganisha performance ya team na uwezo Wa kocha.....


Amini nakwambia Mourinho Poor tactics ndio Adui namba moja Wa Manchester kufanya vibaya msimu huu... Kacheki Game ya uefa tuliyofungwa, team inapack basi mno.


Njoo kwenye game ya Bristol city same tactics.


Bado hatujapata coach Mwenye kuingia kwenye DNA ya Manchester united...
Your 100% correctly.

Hana pia type of players ambao wanaweza kupaki basi.

Unapaki basi na kina young?? Ambao wapo na attacking minded.

Watu ambao kukaba man to man hawawezi.
 
Alipomtoa Lingard (striker) na kumwingiza Herrera (mid fielder) nikajua tu ameamua kulinda kagoli pamoja. INA kamerudi sasa.

Nafiri Mourinho aache wachezaji wawili hadi wanne wacheze free, wanaobaki ndiyo awapangie majukumu. Vinginevyo, confidence ya wachezaji inazidi kushuka.

mchezaji kama herrera anaasili ya kucheza mpira laini kabisa leo hii umemfanya wa kukaba tu na wala asifanye lingine. kuna wenzetu bado wanasapoti anachokifanya mou kuwa wachezaji wanakosa clear chance,lakini kwenye mpira sio kila nafasi inayotengenezwa lazima izae goli,hii sio basketball. dhidi yetu arsenal alitengeneza nafasi zaidi ya 10 lakini alifunga moja tu.
 
Alipomtoa Lingard (striker) na kumwingiza Herrera (mid fielder) nikajua tu ameamua kulinda kagoli pamoja. INA kamerudi sasa.

Nafiri Mourinho aache wachezaji wawili hadi wanne wacheze free, wanaobaki ndiyo awapangie majukumu. Vinginevyo, confidence ya wachezaji inazidi kushuka.

mchezaji kama herrera anaasili ya kucheza mpira laini kabisa leo hii umemfanya wa kukaba tu na wala asifanye lingine. kuna wenzetu bado wanasapoti anachokifanya mou kuwa wachezaji wanakosa clear chance,lakini kwenye mpira sio kila nafasi inayotengenezwa lazima izae goli,hii sio basketball. dhidi yetu arsenal alitengeneza nafasi zaidi ya 10 lakini alifunga moja tu.
 
Back
Top Bottom