Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Football is teamwork sports unlike boxing or golf. Only Messi & CR7 ndio wanaweza kufanya hicho unachotaka Lukaku akifanyeMkuu sikatai kwamba Lukaku ni mzuri, ila kama ukiangalia hata stats zake hafanyi vizuri kwenye game kubwa sasa kuelekea game za last 16 champions league jamaa inabidi abadilike maana tutakuwa tunakutana na timu kubwa ambazo ukiangalia striker wao kiwango kipo juu kidogo zaidi ya Lukaku.
Kweli nimeeleweka au umenielewa?Umeeleweka
Sijakataa ila nazani utakumbuka mara ngapi pia Rooney,Van nistelrooy, etc walitutoa kwenye mechi pale mambo yalipokuwa hayaendi mie napenda Lukaku awe striker tishio.Football is teamwork sports unlike boxing or golf. Only Messi & CR7 ndio wanaweza kufanya hicho unachotaka Lukaku akifanye
Sio lazima Lukaku ndio aipe ushindi kila mechi angalia Man City wana wachezaji wafungaji zaidi ya 7 (Aguero,Jesus,Sane,Sterling,Fernandinho,Otamendi,KDB,Silva).Hata enzi za SAF kuna game kina Fletcher,Oshea,Macheda,Keane ndio wanaipa ushindi timu
Angalia contribution ya defenders wa Chelsea kwenye magoli misimu ambayo wamechukua ubingwa
ha ha mkuu wengine tunainjoi kuona mapicha picha yasio na maelezo toka kwa fildi masho RUTTAKweli nimeeleweka au umenielewa?
Hebu niambie hii picha ilikuwa na umuhimu gani kuwekwa hapa???
Ila una haki yako na jukwaa ni lenu..wacha nirudi kwetu nikashangilie kaushindi ketu. Tukutane Jumapili wadau na mapicha picha yenu yasiyo na kichwa wala miguu.
ONYO: kama huwezi kuweka picha zenye maelezo na za muhimu, usije kwetu! [HASHTAG]#CFC[/HASHTAG]
Kweli nimeeleweka au umenielewa?
Hebu niambie hii picha ilikuwa na umuhimu gani kuwekwa hapa???
Ila una haki yako na jukwaa ni lenu..wacha nirudi kwetu nikashangilie kaushindi ketu. Tukutane Jumapili wadau na mapicha picha yenu yasiyo na kichwa wala miguu.
ONYO: kama huwezi kuweka picha zenye maelezo na za muhimu, usije kwetu! [HASHTAG]#CFC[/HASHTAG]
man u wanashinda kwa timu mbovu........wiki ijaya wanapigwa tena na spurs
bora mmeshinda maana spurs atawapa kipigo cha uhakika
Morinho anaonekana anatoka chumbani kwa pochettino anakimbia na boxer imechanika nyuma sasa sjui alifuata nini huko?
Wee jiandae leo unapigwa tatu.
Mkuu sio wivu kwa hiyo tumuonee wivu Ruta kwa ajili ya likes anazopata kweli...????Unajua watu wanamuonea wivu ruta. Sidhan kama mapicha ni hoja. Ruta ana likes nyingi, hapo ndio wivu ulipo. Mambo ya kijinga
Jukwaa limevamiwa na watoto ambao wanataka waone man utd inacheza na kila timu kama ilivyocheza na everton au west ham. Lukaku msimu huu kahusika na magoli kumi.natafuta mechi ambayo lukaku kacheza vibaya siioni, yani siku asipoonekana lukaku ujue haletewi tu mipira ila jamaa anajitahidi sana tena sana.
ana goli 7 na assist 3 mechi 10 za ligi, hapo ni wastani wa contribution moja ya goli kila mechi.
mshabiki wa Man U anaemponda lukaku huwa simuelewi kabisa.
lukaku ndio analead attack hivyo ni lazima mfumo umfaidishe yeye hilo sio jambo la ajabu,Tunarudi pale pale game formation ya United inamsaidia sana Lukaku kuliko Rashford na Martial.....Rashford anambio sana ila hawezi kulead attacking kutokana hana nguvu ya kuhold mpira na ukija kwa martial yupo vizuri kwenye 1v1 na finishing. Na pia ndio maana Rashford anaanza ili kuwachosha mabeki na kupiga cross kwa Lukaku na Martial anapoingia mabeki wamechoka na anaweza 1v1 inakuwa rahisi yeye au Lukaku kufunga kutokana beki wanakuwa wanamkaba kwa wingi na kumuacha au kumpa nafasi Lukaku.Hii unaweza kuona kwa kuangalia magoli mengi ya Utd yanafungwa kipindi gani.
Akifika 50 itakuwa heri ila mie akipiga 5+ kwa top six na UEFA nitafurahi sana.
Pep na Wenger wanatumia possession based approach. Attacking/pressing ni approach ya Poche na Klop.Mkuu jamaa anachosisitiza ni kwamba duniani Mou anajulikana kwa defensive game plan,ni kama ambavyo Pep anajulikana kwa attacking game plan.Sasa bodi ya UTD imempa mkataba Mou na inajua kwamba atakuwa anacheza hivyo ila ilimradi anafikia malengo ya club.
Pia mpira umebadilika duniani,labda hata SAF angebadilika kutokana na mazingira.Nadhani unaona kilichompata dinosour kwa kugoma kubadilika.