Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,296
Vipaji vipo hapo madogo wanaonyesha ni wa kutumainiwa
bora mmeshinda maana spurs atawapa kipigo cha uhakika
Mkuu ni kweli hata mimi nimejaribubkuliona hilo harera na matic hakuna combination nzuri ila suala linakuja kwa muda huu felaini na pogba wapo majeruhi kwa timu kama spurs kweli kijana tuanzebe anaweza akahimili mikiki mikiki ya spurs???Leo wavamiaji hatuwaoni humu roho zinawauma sana ila nilichokigundua herrera hawaendani na matic jana kawa sambamba na tuanzebe kacheza vizur mno
Hadi kwa muda huu najivunia kuona vijana toka academy yetu wakicheza na wakubwa
Hii itawapa nguvu wakina angel gomez kukaza wakiona wenzao wanapata nafasi.
Tutawafunga 3-1Ushindi wa leo ulikua na umuhimu sana, umeweza kurudisha kujiamini kwa wachezaji. Next match ni Totenham, mechi itakua ngumu sana.