Point 3 angechukua za za huddersfield ila ht 1 ilimshinda ! Halaf ucjafanye unaijua sn man 2lioizoea man 2mezoea timu kushambuliaIfike kipind uelewe falsafa ya kocha anayefundisha timu yako... Kupaki basi ni mbinu take ambayo ameitumia kwa mda mrefu na imempa mafanikio na bodi ilivompa kazi ilijua hayo...
Na co kwa man cty tu subri kuona anapaki hadi kwa crystal palace ngoja mda ufike
Muhimu point tatu
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
