Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Pep na Wenger wanatumia possession based approach. Attacking/pressing ni approach ya Poche na Klop.

Hata hivyo falsafa km hizi huwa ni za vilabu, kocha hupaswa kufit humo.

United toka hata enzi za Fergie, tupo kati, pressing na defensive. Rejea mechi ya Uefa tuliyocheza fainali Urusi dhidi ya Chelsea, possession ilikuwa 75/25

Kuna Mechi ya Uefa pia tuliwahi kumfunga Barca kimoja, akiwa na possession ya 79/21.
Ilikuwa second leg semi final ya UCL mwaka 2008. Paul Scholes aliwatundika hako kamoja kwa mkwaju mkali sana. First leg nakumbuka Christian Ronaldo alikosa penati.
 
Wakuu au mm niliona vibaya maana naona alivyotoka mikh kidogo mashambuliz yalipoa ka Jesse kalikuwa kana zunguka zunguka tu pale kati sikuona alicho fanya.... Yule dogo Ni wakati Wa kuuzwa akachezee Everton, west ham, Swansea ndo level zake...
 
lukaku ndio analead attack hivyo ni lazima mfumo umfaidishe yeye hilo sio jambo la ajabu,

na pia kina martial wanafaidika, sababu angekuwa striker ni Ibra ambae hana movement wote wangekuwa ni ovyo kama msimu uliopita, stats zao za msimu huu ni way better kuliko msimu uliopita.

mkuu bado naendelea kutolea mfano goli la jana, angalia lukaku wakati anatoa ile pasi anakabwa na nani na nani, kuna wachezaji kama watatu hapa, wawili ninao waona vizuri ni Aurrier na huyu namba 4 yaani Toby Alderweireld, hivyo tayari kisiki kimoja lukaku amekivuta nje ya box sababu ya movement zake then alivyotoa pasi martial alibaki na Vertonghen tu, huu ndo msaada wa lukaku kwa kina martial na Rashford.

Na watu walisema Lukaku Ataflop mechi kubwa mpaka sasa ameshacheza mechi 3
-amewafunga madrid
-ya liverpool hakufunga
-assist ya spurs.

pia wakasema ataflop UEFA mpaka sasa ana goli 3 mechi 3

Naona Online wengi wanaandika stats za kupika za Lukaku against top teams.

Afadhali tunakubaliana mambo mengi ila naona uwasilishaji ni tofauti.....mie ninachosema formation na game plan zinabadilika kutokana na mpinzani. Ibra alicheza alivyocheza kutokana Mou alikua yupo kwenye kuimarisha defence zaidi kwa msimu uliopita Ibra alikua anaambiwa acheze hivyo na kama ukiangalia stats utaona kwamba Ibra alikuwa analishwa zaidi katika kila strike zake saba,Ibra anafunga anafunga goli moja kwahiyo chance 6 zimepotea.

Pia Lukaku anafuata masharti yake ila Lukaku kama Lukaku inatakiwa haimprove game yake ukilinganisha na timu anayochezea na pia umri wake inatakiwa awe tishio, Kuhusu game kubwa sijakataa jana amecheze vizuri ila ingawa angefanya mengi, unaposema champions league mie nataka afunge goli tano tu hii hatua ya last 16.

Watu wengi online naona sio kama wanamchukia Lukaku ila wanamfananisha na previous strikers na pia umri wake inatakiwa awe kwenye peak sio potential striker. Hatuwezi fananisha Suarez,Lendowski,Ibra na Lukaku hao wamefanya makubwa sana kwa Club na nchi zao.
 
Kweli nimeeleweka au umenielewa?

Hebu niambie hii picha ilikuwa na umuhimu gani kuwekwa hapa???

Ila una haki yako na jukwaa ni lenu..wacha nirudi kwetu nikashangilie kaushindi ketu. Tukutane Jumapili wadau na mapicha picha yenu yasiyo na kichwa wala miguu.

ONYO: kama huwezi kuweka picha zenye maelezo na za muhimu, usije kwetu! [HASHTAG]#CFC[/HASHTAG]
Wetoka zako yakwenu yamekushinda unaleta umbea uku kwa wanaume
 
ebcf991c11eb6310cced5af2fd0813e6.jpg
 


Manure's Heaviest Defeats: ↓↓

Liverpool 7–1 Manchester United
12 October 1895

Liverpool 7 - 4 Manchester United
October 25, 1908

Liverpool 5 - 0 Manchester United
September 19, 1925

Liverpool 4 - 0 Manchester United
September 16, 1990

Newcastle 5 - 0 Manchester United
October 20, 1996

Southampton 6 - 3 Manchester United
October 26, 1996

Chelsea 5 - 0 Manchester United
October 3, 1999

Manchester United 1 - 4 Liverpool
March 14, 2009

Manchester United 1 - 6 Manchester City
October 23, 2011


inabidi apimwe mavi kabisa na sio mkojo

↑↑↑
Sikulaumu! Nasikia Uliwahi Kuugua Bawasili.. Lazima scar yake itakuwa inakuletea Hisia Flani hivi...
 
Back
Top Bottom