Makapuku Forum

Makapuku Forum

1972 - Rais wa Zanzibar Abeid Amani Karume anauwawa kwa kupigwa risasi 8 mwilini mwake alipokuwa anacheza bao makao makuu ya ASP huko Kisiwandui.

Risasi hizo nane alizopihwa ni sawa na miaka 8 ya utawala wake.

Inasemekana aliuwawa na Luteni Humoud ambaye ni kama alikuwa analipiza kisasi cha kuuwawa kwa baba yake.

Wapo wanaosema kuuwawa kwa Karume ni Jaribio lililoshindwa kupindua serikali yake hivyo wakaamua kumuua tu.

Pia wapo wanaosema kupishana kwake kauli na JK Nyerere kuligharimu uhai wake kwani aligoma kuhusu muundo wa Muungano ambapo alidiriki kusema Muungano ni kama koti likikubana unalivua, pia aligoma kabisa kuunganisha vyama vya ASP na TANU ili izaliwe CCM. Kauli hizo zinadaiwa kumchefua Nyerere.
Naamini kuna mengi nyuma yake
 
Amina mama mchungaji..

Umoja ni kitu muhimu sana.

Kwenye biblia utakumbuka wana wa izrael na umoja wao..

Siku wanaingia nchi ya ahadi..( the land of milk and honey). Utakumbuka mji wa yeriko ulivyotwaliwa..( the fall of Jericho) Joshua; 6:1-

Walivyozunguka mji mara moja kwa umoja wao wakiongozwa na Joshua...

Hapa ndo utajua kwanini Taifa linatakiwa liwe na umoja..

Kwanini Tz tunatakiwa tuwe na umoja...!

Wananchi tungekuwa na umoja leo hii Tz isingikuwa inafanya blundering za ajabu hivi..

Anyway! Ngoja niishie hapa kwa leo.
Kweli mkuu.

Kwa Tanzania ,hakika tunahitaji maombi kuikomboa nchi toka ibilisi,mambo ni mengi mno,laana ,mikosi na unafiki mwingi..tufanye toba tumlilie Mungu,atatusaidia.

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
1961 - Brigitte Van Der Burg anazaliwa jijini Tanga, Nchini Tanzania.

Ni mbunge katika Bunge la Nchi ya Uholanzi.
a0edf0f98396c2b789187e339353b76f.jpg
aa6e22803a821f34157135bf78d74566.jpg
d538bb0efc03d1146e6a497e114fb4a6.jpg
a1a082fca8d17ade2d3fa715497e954f.jpg
kautosa uraia wa Tanzania
....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom