BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Goodmorning sir how are you?Be BlessedGoodmorning family
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Goodmorning sir how are you?Be BlessedGoodmorning family
HahahaNdio weka picha maana ulishatuahidi weka halafu uitoe.
Halafu mbona leo anacheka tuuAcha maneno put ukweli
AmenKwa damu ya Yesu kristo
Ninafuraha kuungana nanyi
Mamlaka ya Ngorongoro wanatoa likizo miezi minne sawa na siku 120.Hivi kuna muajiri anatoa likizo ya 40 days?
Lets be logically..
Tunashukuru, uwe na siku njema piaLeo katika Historia:
Niwatakie siki njema.
Kabla hujaweka nitumie niikague kwanzaHahahaaa!
Babe mondray anataka niweke picha kabisa...?
Papa umeamkqjeGoodmorning family
Amina mama mchungaji..Asante sana mkuu Transcend ubarikiwe.
Hakika umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
Pumzika kwa amani Hayati Mwl.Julius Kambarage Nyerere..daima tutakukumbuka..hekima zako na usemi wako tutautumia daima.
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Usifanye hivo babyIn short, we unaamuaga kudanganya umma
KabisaaR i P legeng...! Forever
Ila kama nahisi aliondoka na bongo movie yake
Leo katika Historia:
1946 - Syria yapata Uhuru wake toka kwa Ufaransa.
I hope soBaby nini tena ?
Leo nimesema ukweli mtupuuuuuuu.
Fridaaaaay!Kabla hujaweka nitumie niikague kwanza
Bae leo kuna nini mbona wacheka sana
Mmh..Mamlaka ya Ngorongoro wanatoa likizo miezi minne sawa na siku 120.
1972 - Rais wa Zanzibar Abeid Amani Karume anauwawa kwa kupigwa risasi 8 mwilini mwake alipokuwa anacheza bao makao makuu ya ASP huko Kisiwandui.
Risasi hizo nane alizopihwa ni sawa na miaka 8 ya utawala wake.
Inasemekana aliuwawa na Luteni Humoud ambaye ni kama alikuwa analipiza kisasi cha kuuwawa kwa baba yake.
Wapo wanaosema kuuwawa kwa Karume ni Jaribio lililoshindwa kupindua serikali yake hivyo wakaamua kumuua tu.
Pia wapo wanaosema kupishana kwake kauli na JK Nyerere kuligharimu uhai wake kwani aligoma kuhusu muundo wa Muungano ambapo alidiriki kusema Muungano ni kama koti likikubana unalivua, pia aligoma kabisa kuunganisha vyama vya ASP na TANU ili izaliwe CCM. Kauli hizo zinadaiwa kumchefua Nyerere.
Mmeshakuwa na wasiwasi hata nikiweka hamtoamini..Hahaha
Mr wa Sakayo leo Unaloooo
Usije ukaweka tu ya mdogo wako
Ndani ya miaka mitatuMmh..
Ndani ya mwaka mmoja?
Quigley aje hapa ! Manake ni mdau kule..
Pia wapo wafanyakazi wa jeshi la polisi waenda likizo miezi mitatu Sawa na siku 90Mamlaka ya Ngorongoro wanatoa likizo miezi minne sawa na siku 120.
Naskia Sizonje wa Marekani katangaza kuwavamia.![]()
bora wangenyimwa Uhuru maana kila siku kwao vita japo kuna mkono wa MTU![]()
.....
.