Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
2003 - Majeshi ya Marekani wanamkamata Kiongozi wa Iraq, Saddam Hussein na kuhitimisha Utawala wake nchini Iraq uliodumu kwa muda mrefu.
Saddam Hussein alikuwa ni mmoja ya viongozi wababe waliotikisa Dunia miaka ya 90.
Alinyongwa baada ya kupatikana na makosa ya uhalifu dhidi ya Binadamu.
CIA noma sana
.....
