Makapuku Forum

Makapuku Forum

2003 - Majeshi ya Marekani wanamkamata Kiongozi wa Iraq, Saddam Hussein na kuhitimisha Utawala wake nchini Iraq uliodumu kwa muda mrefu.

Saddam Hussein alikuwa ni mmoja ya viongozi wababe waliotikisa Dunia miaka ya 90.

Alinyongwa baada ya kupatikana na makosa ya uhalifu dhidi ya Binadamu.
fc452f4a556e9384a49fe090c44f0454.jpg
8937edd6e92daf7134fe95ed09fd3be8.jpg
2a5ebbb7152ea27e860589fb5d48329a.jpg
871907723faadf2f22118ab88d5e6fa7.jpg
Now Iraq shaghalabaghala wanajuta kuwaamini Wamarekani...ni km Libya tu
CIA noma sana
.....
 
1972 - Rais wa Zanzibar Abeid Amani Karume anauwawa kwa kupigwa risasi 8 mwilini mwake alipokuwa anacheza bao makao makuu ya ASP huko Kisiwandui.

Risasi hizo nane alizopihwa ni sawa na miaka 8 ya utawala wake.

Inasemekana aliuwawa na Luteni Humoud ambaye ni kama alikuwa analipiza kisasi cha kuuwawa kwa baba yake.

Wapo wanaosema kuuwawa kwa Karume ni Jaribio lililoshindwa kupindua serikali yake hivyo wakaamua kumuua tu.

Pia wapo wanaosema kupishana kwake kauli na JK Nyerere kuligharimu uhai wake kwani aligoma kuhusu muundo wa Muungano ambapo alidiriki kusema Muungano ni kama koti likikubana unalivua, pia aligoma kabisa kuunganisha vyama vya ASP na TANU ili izaliwe CCM. Kauli hizo zinadaiwa kumchefua Nyerere.
R.I.P Abeid Amani Karume..Mungu akuweke mahali pema peponi

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom