Makapuku Forum

Makapuku Forum

Brooh!

Unanifahamu tayari kaka!

Kweli week zoote hizi bado tumekaa hapa makapuku bado hujapata kunifahamu?

Kwa kifupi basi na wengine wanifahamu..


Jina: Transcend M.

Jinsia: me

Age; 27

Kazi: mjasiria mali

Ndoa; uchumba na Sakayo

Bado nini tena mkuu?

Natumaini mmenifahamu sasa..!
In your Originality.
Hahaaaa am not sure kama hiyo ni miaka yako.
Am not sure kama hiyo ni kazi yako maana juzi tu ulisema likizo uliyopewa ya siku 40 imeisha.
 
2003 - Majeshi ya Marekani wanamkamata Kiongozi wa Iraq, Saddam Hussein na kuhitimisha Utawala wake nchini Iraq uliodumu kwa muda mrefu.

Saddam Hussein alikuwa ni mmoja ya viongozi wababe waliotikisa Dunia miaka ya 90.

Alinyongwa baada ya kupatikana na makosa ya uhalifu dhidi ya Binadamu.
Mkuu,

Mwanzao kabisa Mareakani na washirika wake waliingia kwa dhumuni la Silaha za maangamizi

Bado najiulizaga silaha za maangamizi ni nuclear missiles au kuna cha zaidi..?

Baada ya vita kuisha na Sadam kunyongwa hakukuwa silaha zozote?

Sasa agenda ya mwisho ya kumnyonga SH ni kuwa alifanya uhalifu wa bibadamu?

Kweli? Is this true..au walikuwa na black agenda?
 
In your Originality.
Hahaaaa am not sure kama hiyo ni miaka yako.
Am not sure kama hiyo ni kazi yako maana juzi tu ulisema likizo uliyopewa ya siku 40 imeisha.
Hahahaa!

Ngoja niwe mkweli leo..! Am not 40 brooh!

Hiyo ndo miaka yangu sahihi..!

Pia, kuwa mjasiria mali haimaanishi huwezi kuwa na likizo ya shughuli zako..
 
Habari zenu wakuu hope mko wazima..siku hizi mahudhurio yangu hafifu

It Depend.
Ila be alike bro why don't want to reveal to your friends while they do to you.
Aaahaaaa umenifanya hadi niandike English yangu broken.
Hahaaaa!

Pole ila ndo unajifunza hivyo...wala usiogope kuandika au kuongea broken english! Bado tunajifunza

Sasa mkuu unataka niweke No za simu ama?

Au niweke picha?

Manake naona leo mmeamka na mimi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom