Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wakuu tuwe na siku njema..

Mkuu mr T tunakusubiria kwa lishe ya ubongo ...Ila sio mbaya tukaipitia na hii

a11061d3cc13609d2b1ef98c3653366b.jpg
 
1972 - Rais wa Zanzibar Abeid Amani Karume anauwawa kwa kupigwa risasi 8 mwilini mwake alipokuwa anacheza bao makao makuu ya ASP huko Kisiwandui.

Risasi hizo nane alizopihwa ni sawa na miaka 8 ya utawala wake.

Inasemekana aliuwawa na Luteni Humoud ambaye ni kama alikuwa analipiza kisasi cha kuuwawa kwa baba yake.

Wapo wanaosema kuuwawa kwa Karume ni Jaribio lililoshindwa kupindua serikali yake hivyo wakaamua kumuua tu.

Pia wapo wanaosema kupishana kwake kauli na JK Nyerere kuligharimu uhai wake kwani aligoma kuhusu muundo wa Muungano ambapo alidiriki kusema Muungano ni kama koti likikubana unalivua, pia aligoma kabisa kuunganisha vyama vya ASP na TANU ili izaliwe CCM. Kauli hizo zinadaiwa kumchefua Nyerere.
 
NUKUU YA LEO


There is no time to waste. We must either unite now or perish.

Hakuna muda wa kupoteza, lazima tuungane ama tuangamie

Haya maneno yalipata kusemwa na Mwalim. Julius Kambarage Nyerere, muasisi na baba wa taifa la Tanzania.

Mwal. Jk nyerere ndio aliyeongoza vita ya kupigania uhuru wa Tanganyika na baadaye kuwa Tanzania.

Mwal. Atakumbukwa kwa mchango wake ktk kupigania uhuru wa nchi za Africa hasa nchi za kusini mwa jangwa la sahara..

Ukweli wake, kupenda haki, utu wake, na maadili yake yameendeea kuwa kama nembo ya utambulisho kwa Taifa la Tanzania.

Mwalimu amepokea zaidi ya tuzo 12 kwa mchango wake ktk mataifa mbalimbali, aliongoza tanzania kwa miaka 24 kabla ya kung'atuka madarakani tar 5/11/1985.

Mwal. Alifariki dunia tar. 14/10/1999 akiwa na miaka 77.

073d94486964f97022b425102e50c974.jpg


1afbe96e4a63cd215a1b9c083f40e3dd.jpg


Umoja ni nguvu! Mwalimu alipenda tuungane ili tuwe na nguvu..

Umoja wetu ni mafanikio yetu..

Transcend.
Hakika umoja ni nguvu
 
Morning lovie..

Hope umeamka salama mama..

Leo nimecheleww kuamka kidogo mamie..! Ile dozi ya jana sio kabisa..

On the way the way!

Nakupenda mke wa maisha yangu..

Have a blessed day
Morning too babe!!!

Mie leo nimeamka poa thanks to you and your prayers!!

Niko tu nyumbani leo napumzika
 
Brooh!

Unanifahamu tayari kaka!

Kweli week zoote hizi bado tumekaa hapa makapuku bado hujapata kunifahamu?

Kwa kifupi basi na wengine wanifahamu..


Jina: Transcend M.

Jinsia: me

Age; 27

Kazi: mjasiria mali

Ndoa; uchumba na Sakayo

Bado nini tena mkuu?

Natumaini mmenifahamu sasa..!
Bado tarehe ya kumbukumbu ya ndoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom