Makapuku Forum

Makapuku Forum

3875abcdaf80ac16cc7014087067a1cd.jpg
da2b58194d36cdbb485a6641feaa8224.jpg
ec5b04863ffef4c42eca17ee09ee7ec0.jpg
Hakupandisha mori km jina lake?
.....
Hahaha...
 
Afrika tuna safari ndefu sana, Mrema kachoka, Mrema kaisha lakini haachii madaraka.

Twende kwa marais, wapo akina Mugabe, wapo akina Biya, wapo akina Museveni hawajawahi kufikiria kuachia madaraka japo wengine hali zao ni tete umri umewatupa mkono.
Hakuna ubishi mtu akizeeka uwezo wa kufikiri unapungua...ndio maana nchi zilizoendelea vizee vinalipwa pesa ili vitulie kwa amani maana ufanisi wao kimwili na kiakili hupungua
Japo tunaamini kibongobongo uzee ni busara
...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom