Makapuku Forum

Makapuku Forum

1948 - Shirika la Afya Duniani ( WHO ) laanzishwa.

Makao makuu yapo Geneva nvhini Uswizi.
0721f2bfc583e742203111f1cfa851c9.jpg
e1edb00908406a8aeb9df980ba09a811.jpg
53d576226bfc4c339726179c8c8aefb0.jpg
 
1955 - Waziri Mkuu wa Uingereza Winston Churchill anajiuzulu wadhifa huo kwa sababu za kiafya.

Alishika wadhifa huo mara mbili tofauti. Anatajwa kama mmoja kati ya Mawaziri Wakuu bora katika siasa za Uingereza.

Ndio mtu wa kwanza kati ya Watu 8 pekee kupewa Uraia wa heshima katika Nchi ya Marekani.
8c5f6534f33922c2b08baccdc05a23a8.jpg
aca9fe19e4b036bcf7e2db0ae0b33a84.jpg
c26c48efe15701241da7f659f1e127d3.jpg
Waafrika tunajali zaidi matumbo yetu badala ya afya zetu na heshima au maslahi ya Taifa....
mwangalie Mrema kang'ang'ania sijui Uenyekiti wa wanyamapori na yule Makamu wa Rais Zenji japo kuongea tu kwao ni shida
...
 
8c5f6534f33922c2b08baccdc05a23a8.jpg
aca9fe19e4b036bcf7e2db0ae0b33a84.jpg
c26c48efe15701241da7f659f1e127d3.jpg
Waafrika tunajali zaidi matumbo yetu badala ya afya zetu na heshima....mwangalie Mrema kang'ang'ania sijui Uenyekiti wa wanyamapori japo kuongea tu shida
...
Afrika tuna safari ndefu sana, Mrema kachoka, Mrema kaisha lakini haachii madaraka.

Twende kwa marais, wapo akina Mugabe, wapo akina Biya, wapo akina Museveni hawajawahi kufikiria kuachia madaraka japo wengine hali zao ni tete umri umewatupa mkono.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom