Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU YA LEO


There is no time to waste. We must either unite now or perish.

Hakuna muda wa kupoteza, lazima tuungane ama tuangamie

Haya maneno yalipata kusemwa na Mwalim. Julius Kambarage Nyerere, muasisi na baba wa taifa la Tanzania.

Mwal. Jk nyerere ndio aliyeongoza vita ya kupigania uhuru wa Tanganyika na baadaye kuwa Tanzania.

Mwal. Atakumbukwa kwa mchango wake ktk kupigania uhuru wa nchi za Africa hasa nchi za kusini mwa jangwa la sahara..

Ukweli wake, kupenda haki, utu wake, na maadili yake yameendeea kuwa kama nembo ya utambulisho kwa Taifa la Tanzania.

Mwalimu amepokea zaidi ya tuzo 12 kwa mchango wake ktk mataifa mbalimbali, aliongoza tanzania kwa miaka 24 kabla ya kung'atuka madarakani tar 5/11/1985.

Mwal. Alifariki dunia tar. 14/10/1999 akiwa na miaka 77.

073d94486964f97022b425102e50c974.jpg


1afbe96e4a63cd215a1b9c083f40e3dd.jpg


Umoja ni nguvu! Mwalimu alipenda tuungane ili tuwe na nguvu..

Umoja wetu ni mafanikio yetu..

Transcend.
Asante sana mkuu Transcend ubarikiwe.
Hakika umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.

Pumzika kwa amani Hayati Mwl.Julius Kambarage Nyerere..daima tutakukumbuka..hekima zako na usemi wako tutautumia daima.

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu wakuu hope mko wazima..siku hizi mahudhurio yangu hafifu

It Depend.
Ila be alike bro why don't want to reveal to your friends while they do to you.
Aaahaaaa umenifanya hadi niandike English yangu broken.
Usilazimishe sana huenda ni mvaa suti......

Mie mwenyewe I know nothing, na ndo mke mtarajiwa
 
Mkuu,

Mwanzao kabisa Mareakani na washirika wake waliingia kwa dhumuni la Silaha za maangamizi

Bado najiulizaga silaha za maangamizi ni nuclear missiles au kuna cha zaidi..?

Baada ya vita kuisha na Sadam kunyongwa hakukuwa silaha zozote?

Sasa agenda ya mwisho ya kumnyonga SH ni kuwa alifanya uhalifu wa bibadamu?

Kweli? Is this true..au walikuwa na black agenda?
Mwanzo kabisa, ilikuwa ni ajenda ya silaha za maangamizi lakini walipokosa wakaamua kuja na ajenda ya uhaligu dhidi ya binadamu.

Lakini uhalisia ni kuwa, Bush mdogo alikuwa analipa kisasi hasa baada ya baba yake kushindwa kwenye vita vya Ghuba na huyuhuyu Saddam.

So ni kama revenge flani hivi ndio maana Saddam alihukumiwa kulekule kwao Iraq na hakupelekwa ICC kwa kuwa angeweza kupewa kifungo kidogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom