BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Pumzika kwa amani Stevene Kayumba2012 - Steven Kanumba anafariki Dunia.
Ni muigizaji nguli na mashuhuri kuwahi kutokea nchini Tanzania.
Mazingira ya kifo chake yamebaki ya kutatanisha mpaka leo.
Toka afariki, tasnia ya filamu imeyumba kwa kiasi kikubwa.
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app