Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,243
Maji yalizidi unga wakaamua warudishe mpira kwa kipa.![]()
vita iliwashinda ndio wakaamua kusepa?![]()
.....
Maji yalizidi unga wakaamua warudishe mpira kwa kipa.![]()
vita iliwashinda ndio wakaamua kusepa?![]()
.....
Habari zenu wakuu hope mko wazima..siku hizi mahudhurio yangu hafifu
It Depend.
Ila be alike bro why don't want to reveal to your friends while they do to you.
Aaahaaaa umenifanya hadi niandike English yangu broken.

HBD Chan1954 - Jackie Chan anazaliwa.
Staa wa filamu za mapigano kutoka Hong Kong.
Baadhi ya kazi zake ni Police Story, Mr Nice Guy, Who Am I? Nk
1961 - Brigitte Van Der Burg anazaliwa jijini Tanga, Nchini Tanzania.
Ni mbunge katika Bunge la Nchi ya Uholanzi.

1994 - Mauaji ya Kimbari Rwanda: Mauaji ya Watu wa Kabila la Tutsi yaanza kushika kasi jijini Kigali
We wake-up with you todayHahaaaa!
Pole ila ndo unajifunza hivyo...wala usiogope kuandika au kuongea broken english! Bado tunajifunza
Sasa mkuu unataka niweke No za simu ama?
Au niweke picha?
Manake naona leo mmeamka na mimi

HBD Ribery1983 - Franck Ribery anazaliwa.
Winga wa klabu ya Bayern na timu ya taifa ya Ufaransa.
Mmoja kati ya wachezaji hodari kabisa kwa miaka 10 iliyopita ila amefunikwa na kivuli cha Messi na Ronaldo.
Ile Movie ni balaa japo wanasema movie ya Hotel Rwanda ndio imebase katika uhalisia zaidi.![]()
![]()
![]()
"April again and the rain is here"
Sometimes in April
.....
He is underrated!HBD Ribery
Nimependa fix zakoHahahaa! Ndama mutoto ya ng'ombe vipi?
Sawa mkuuPoint of correction, miaka 47 sio mzee![]()
R.I.P......- Leo ni siku ya kuwakumbuka waliopoteza Maisha katika mauaji ya Kimbari nchini Rwanda.
Goodmorning ShemelaMorning sir
Merci Papaa MussoLeo katika Historia:
Niwatakie siki njema.
Got you mkuu!Mwanzo kabisa, ilikuwa ni ajenda ya silaha za maangamizi lakini walipokosa wakaamua kuja na ajenda ya uhaligu dhidi ya binadamu.
Lakini uhalisia ni kuwa, Bush mdogo alikuwa analipa kisasi hasa baada ya baba yake kushindwa kwenye vita vya Ghuba na huyuhuyu Saddam.
So ni kama revenge flani hivi ndio maana Saddam alihukumiwa kulekule kwao Iraq na hakupelekwa ICC kwa kuwa angeweza kupewa kifungo kidogo.
Ndiyo tupo 47 na zaidiHahahaaaa!
Nyagei hii ni week ya makapuku sio?
Lets be logically na wakweli mkuu..! Kweli kuna mzee wa 47 atakuwa yuko chitchat muda huu..
Ndio English hiyo mboba nzuri sana endelea kuzungumza na kuandika huwezi amini hata mbuyu ulianza kama mchicha utafika mbali komaaaHabari zenu wakuu hope mko wazima..siku hizi mahudhurio yangu hafifu
It Depend.
Ila be alike bro why don't want to reveal to your friends while they do to you.
Aaahaaaa umenifanya hadi niandike English yangu broken.
Hata mimi mama mchungajiMbona baba mchungaji yupo muda huu![]()
![]()
![]()