Makapuku Forum

Makapuku Forum

Asanteni wote kwa kushiriki kuwania post ya 100K
Pole sana kwa mamluki ambao walijaribu ila hawakuweza (Huu mchezo hauhitaji hasira)
Hongera kwa makapuku wote najua mlijaribu ila Jimena Jimenes ndio kiboko yenu

Lakini kama ilivyo desturi mshindi ni mmoja tu
briz and I tunawakaribisha sana tusherekee record hii ambayo kupatikana kwake ni manufaa kwa makapuku wote.

Peace and love
Cheers
View attachment 395219
View attachment 395220
Karibuni sana tufurahie pamoja.
Huo mjagi wa juice.. Ongeza plz.. Then niwekee na bavaria zangu 0.0% alcohol.
 
Humu ndani kuna mchawi wangu, jana hivi hivi nilikuwa navutwa shati wakati naikimbiza 100k....na lazma atakuwa Jonax , nimelala kwa mawazo sana! haiwezekani msoc wangu nimeutelekeza ukapoa kwa ajili ya kufukuzia mwisho wa siku nikatoka na Nunge! wajanja mkawa mnatupia herufi moja moja kuitegea! mi naandika tu...mchawi mwingine ni yule Anajiita Nsekwa...alisema nimshike mkono ndio akanipunguza speed.... Aaaaargh.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom