Makapuku Forum

Makapuku Forum

Barida wanangu, kifupi nafurah uzi umepa, lengo letu as a family tumefanikisha..

Wengine wasihuzunike saana, ni ishu za kawaida, kila mmoja ni mshindi mpaka hapa tulipofikia, na kila mmoja ana rekod yake ambayo mwingine hawez ipata, mwenye post 89 nae ana rekod yake maana hamna atakayeweza kuivunja hyo.. Much respect kwenu nyote..

Watu fulani ndani ya muda mfup mmeweza kunitoa unyonge nilio nao nakujihisi mpya..

Have you ever missed some1 you have never seen.. Mie katika mara chache hii moja wapo, wakati mwingine najihisi mnyonge hasa kisa nimewamis makapuku wenzangu..

Shululu,jonaz,bitoz,Mussolini 5,werrason,Quigley, jimena,briz,sweetiepie nawapenda sana ndugu zangu, hii inatoka kwenye center kabsa ya moyo wangu..

Heshima kwenu wengine wote mliofanikisha uzi huu umefika hapa kwa namana moja ama nyingine

[HASHTAG]#SALUTE[/HASHTAG]
Pamoja sana kiongozi
 
Asanteni wote kwa kushiriki kuwania post ya 100K
Pole sana kwa mamluki ambao walijaribu ila hawakuweza (Huu mchezo hauhitaji hasira)
Hongera kwa makapuku wote najua mlijaribu ila Jimena Jimenes ndio kiboko yenu

Lakini kama ilivyo desturi mshindi ni mmoja tu
briz and I tunawakaribisha sana tusherekee record hii ambayo kupatikana kwake ni manufaa kwa makapuku wote.

Peace and love
Cheers
View attachment 395219
View attachment 395220
Karibuni sana tufurahie pamoja.
Karibuni sana jamani hakuna kadi za mualiko
 
Humu ndani kuna mchawi wangu, jana hivi hivi nilikuwa navutwa shati wakati naikimbiza 100k....na lazma atakuwa Jonax , nimelala kwa mawazo sana! haiwezekani msoc wangu nimeutelekeza ukapoa kwa ajili ya kufukuzia mwisho wa siku nikatoka na Nunge! wajanja mkawa mnatupia herufi moja moja kuitegea! mi naandika tu...mchawi mwingine ni yule Anajiita Nsekwa...alisema nimshike mkono ndio akanipunguza speed.... Aaaaargh.
we nae jana ulitia fora aisee, umeamkaje lakin shem lake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom