Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,266
Swt pNani huyo kabutua!!!
Swt pNani huyo kabutua!!!
HahahahCc akilimali
Ankali umetisha sana, umenikumbusha Algore na Bush Jrsana...au Ole Gunnar Solskjier
Huyu nitamtania mbayaaa we subiri uone
Iron lady wewe ndii mshindi wetu!!
Fungua champagne hiyo...
cheers101 ntakupa kwa hii iam sorryAcha roho mbayaaa
Embu nipe ushindi huo uone jinsi ntakavyoushangilia huu mwaka mzima
Kwel kabisa Ujecha umehusika hapaaaNi jimenaa, jecha bitoz kafuta matokeo
Nakupenda zaidi, tuingie chumbaniLuv u

Justice for JimenaAsante sana
Finally nimepata haki yangu.
Shukrani za dhati zimfikie Lubuva japo mpaka sasa sijisomi front page
QUEENNani huyo kabutua!!!

Cc sweetiepieEti "navutwa" bwahahaaaaa
Aliyekwambia ni nani anayatafuta ushindi namna hiii
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
NAVUTWAAAaa
HayaMtandao
Hongera AnkaliView attachment 395175
Inaonyesha kuna fitna zilifanyika ila jasho la mtu halipotei bure
Hongera kwako himena himenes kwa kutusua.. 100k, una zawad yako nzito, nikitua tu dsm plz fanya mchakato uje ubebe zawad yako kigambon, but PLEASE DNT COME WITH UR TWIN CWT P, ila RUKSA KUJA NA KIPENZI CHAKO MR. BRIZ HIMSELFHapa leo
Aisee nimekumisi sana kamanda ulipotelea wapi, umeikosa ligi kubwaNani huyo kabutua!!!
Ila pamechimbika aiseeAsante sana
Japo Lubuva amechelewa sana kuweka matokeo
Mkuu si unajua vita vya panzi furaha kwa Kunguruumetisha sana kiongozi.. Mbishi ka nkurunzinza
Kipato huleta majivuno![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
huu ushindi ni wetu wote my baby. Nilikuahidi kuwa its either you or me
Na nimekamilisha ahadi yangu kwako