Makapuku Forum

Makapuku Forum

Your genius....

Kwel kabisa... post zimefutwta ndo mana QUIGLEY akakosa ushindi.
Thumbz up bro.

Ila kna watu wangu huku kesho ntawatania mbayaaaa watakomaaa
Bitoz ndio mtu wa kwanza kuweka screenshot yenye ushindi hapa, na ilikuwa sekunde ile ile, hebu na wewe weka ushahidi tuthibitishe hayo unayosema
Acha majungu kikofia
Kama ipo ipo tu
 
Your genius....

Kwel kabisa... post zimefutwta ndo mana QUIGLEY akakosa ushindi.
Thumbz up bro.

Ila kna watu wangu huku kesho ntawatania mbayaaaa watakomaaa
Na ww hujaelewa
Ukidelete post # hazitabadilika
Mpangilio wa page ndo unabadilika.mfano delete post yako uone # za post kabla + baada yako hazibadiliki kamwe
....... ..................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom