Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Good morning Kigli....

Good morning Kigli....

Mourning MkuuGoodmorning people
Aksante, na kwako poa kiongoziNawatakia siku njema wenzangu na mie!
My love...Hahaa.. Pole, vumilia tu, lile zee la makimba makubwa ndivyo lilivyo, muone alivyo, maskio kama upawa wa mama ntilie bugurun.

I must confess nimekumiss sana...Hahaa.. Pole, vumilia tu, lile zee la makimba makubwa ndivyo lilivyo, muone alivyo, maskio kama upawa wa mama ntilie bugurun.

Goodmorning mkuu nsekwa, yan nikikuona nacheka kwa jinsi ulivyoweweseka na ile spidi ya janaGoodmorning people


Yani huyo ndiye alikuwa ananivuta sana jana afu ananiita ita nini....![]()





Diiiii wamekuweka tayariCode zitakuja PM ila mwambie Lubuva akaniweke pale basi
Maana sio kwa usongo huu
Asante sana

Umefananisha wewe, kabutua pacha wake, sio yeye..

Morning chief umeamkaje?Morning to you
Ndio.. Kwani kuna mtoto wa baba au shangazi!!??Mmmh kwahiyo we ni mtoto wa mama??
Niliogopa sana watu walukuwa busy mbayaGoodmorning mkuu nsekwa, yan nikikuona nacheka kwa jinsi ulivyoweweseka na ile spidi ya jana![]()
Kwa hiki Kiswahili, kweli ndio unaamka!![]()
![]()
![]()




umechelewa ku-quote nlisha-editMi namtumia mtu wa massahe hadi kwakeZawadi yangu kwako ni mvinyo utakufikia huko uliko
Muhimu unitumie code tu



Pamoja sana Mkuu. I'm sorryumechelewa ku-quote nlisha-edit
CC: JONAXXXXXXXNapenda kutoa pole kwa wale wote;
walioweka bando la chuo ili kuitafuta 100k lakini wakaikosa.
Waliokopa vifurushi ili kuitafuta 100k lakini wakaikosa.
waliokesha na kuipania 100k ila wakaikosa.
Waliotangaza kwenye magroup yao Whatsapp kwamba watatusua 100k ila wameikosa.
Waliodhani 100k itafika Kesho au Kesho kutwa kumbe shughuli ilikuwa leoleo.




