Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Khee?!!!!Jimena, morning bro
Khee?!!!!Jimena, morning bro
Asante ntakujaaaaCc Mrs Navutwa
Vinywaji ni vingi sanaaa![]()
![]()
Mje wote tusherehekee
Good morning Werra Werra....Goodmorning family, hongera Jimena kwa 100k naona timing hazikuwa predictable maana post kama 50 mbele Watu wanagombania![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Goodmorning swt pGood morning Werra Werra....
Huyu chini ya meza mbona kama chui!!Asanteni wote kwa kushiriki kuwania post ya 100K
Pole sana kwa mamluki ambao walijaribu ila hawakuweza (Huu mchezo hauhitaji hasira)
Hongera kwa makapuku wote najua mlijaribu ila Jimena Jimenes ndio kiboko yenu![]()
Lakini kama ilivyo desturi mshindi ni mmoja tu
briz and I tunawakaribisha sana tusherekee record hii ambayo kupatikana kwake ni manufaa kwa makapuku wote.
Peace and love
Cheers
View attachment 395219
View attachment 395220
Karibuni sana tufurahie pamoja.


Tuje twende basi Jirani naona kuna Juice pale...itanifaa sanaAsante sana
Cc sweetiepie
HeheeeeeNmeleta mbwembwe nyingi lakini mmeikosa
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Good morningUsiku mwema ndugu zangu.. Kesho nayo siku..
Nimem-quote mwingine imeenda kwingine!!! KF inaitetemesha JFKhee?!!!!
hata post ya 100k inabadilika badilikaUlale salama piaUsiku mwema makapuku wenzangu mlale salama
Hata mimi huwa nawamiss makapuku japo siwafaham kabisa hata mmoja...yaan interesting, jana nilichelewa kuingia jamvini ila moyo ukauma sana ikabidi niweke bundle niingie..we are like family now.Barida wanangu, kifupi nafurah uzi umepa, lengo letu as a family tumefanikisha..
Wengine wasihuzunike saana, ni ishu za kawaida, kila mmoja ni mshindi mpaka hapa tulipofikia, na kila mmoja ana rekod yake ambayo mwingine hawez ipata, mwenye post 89 nae ana rekod yake maana hamna atakayeweza kuivunja hyo.. Much respect kwenu nyote..
Watu fulani ndani ya muda mfup mmeweza kunitoa unyonge nilio nao nakujihisi mpya..
Have you ever missed some1 you have never seen.. Mie katika mara chache hii moja wapo, wakati mwingine najihisi mnyonge hasa kisa nimewamis makapuku wenzangu..
Shululu,jonaz,bitoz,Mussolini 5,werrason,Quigley, jimena,briz,sweetiepie nawapenda sana ndugu zangu, hii inatoka kwenye center kabsa ya moyo wangu..
Heshima kwenu wengine wote mliofanikisha uzi huu umefika hapa kwa namana moja ama nyingine
[HASHTAG]#SALUTE[/HASHTAG]
Na mm je?Sana aisee
WerrasonNani yupo macho tupige story
Yani huyo ndiye alikuwa ananivuta sana jana afu ananiita ita nini....Muache apumzike bana amevutwa sana leo![]()


