Makapuku Forum

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unabadilisha maneno siyo?
 
Lol! Kind like bank overdraft, nimeipenda but shida ni baadhi kusongesha zaidi ukitumiwa afukumi wanakata afusita uliyosongesha.

NB. Wakati kwenye overdraft hakuna interest, songesha nadhani wanatoza riba fulani.

Maslahi: sijaqualify kusongesha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini afukumi na afusita lakini OBE?

Aki!!!! You can take a man out of the village, but you cannot take the village out of Him..."
 
[emoji419][emoji419][emoji419]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…