Upo wa kutosha Toto...
Nini tena aunt
Kuna usalama kweli
Auntie makiii hongera bwana fanya uniazime hata moja leseni yangu huwa inaexipire ikiwa kwa droo tu
hata sijui nacheka ninii ila auntie makii utakuja WhatsApp kunifafanulia au tukipigiana simu
Alikuwaga ana comment anaweka dot dot,He he ulikuwa muoga mwenyewe we mzee
Dah! Na leo alicho nifanyia namtazama tu.. Kaniambia nimpe lift, nimejipinda nimeenda na kirikuu changu nimeweka na wese la buku ten, kanikalisha masaa matatu pale nje ya ofisi naota joto tu.. badae nikaona anatoka na Lexus LX 570.. yaani ila fresh tu
Mzima Dada Tajiri lakini ? Mnaendeleaje hapo ?
Unabadilisha maneno siyo?
Naanza kuelewa kwa mbali sasaUnaona unapendwaaaa kumbe watu wanakujaza ujinga tu wanafurahua maujinga yako
Ulipata gawio Auntie wangu?Songesha ni voda auntie wanakukopesha mkopo unaitwa songesha
Lol! Kind like bank overdraft, nimeipenda but shida ni baadhi kusongesha zaidi ukitumiwa afukumi wanakata afusita uliyosongesha.
NB. Wakati kwenye overdraft hakuna interest, songesha nadhani wanatoza riba fulani.
Maslahi: sijaqualify kusongesha
Haha watu wanakujaza unajua wanakukubali kumbe wenzio wanakuchora tu
Ni either wakikusifia uwalie buyu au uamue kujitoa tu ufahamu kwamba wakikusifia unafurahia tu kinafiki ili muende sawa ila moyoni unajua kabisa wanakuzunguka
Lakini ukijifanya unawaamini imekula kwako
Niko hapa Auntie...Auntie makiii nani kakuficha
Mwenye nguvu mpisheKula mema ya dunia mkuu, mimi sina meno tena!
Kimandolu wewe....Si yule mlevi wake, sio yule wa siku ile, yule mwingine.