Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,444
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pole binamu,,tunaunda tena tume ya kumrudsha kwako....mimi nimeenda na mmenilipia hadi ingilishikozi lakini ndugu yenu nimemwaga mchana kweupe, yaani marybaby hakusubiri japo animwage gizani asione ninavyotoa machozi.