Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,251
- 90,445
Shangazi yenu
Ashakuwaa shangaz tena
Ashakuwaa shangaz tena
Asante jamani mbona unacheka hivyoHahahaha
Nakuona ,karibu Sana
Hahahaha asanteni wapenzi wanguKaribu sana shangazi yetu mpendwa!![]()
Shangazi sasa hivi huniiti tena totoo,najisikia vibaya mimi!Hahahaha asanteni wapenzi wangu



HahahahaAsante jamani mbona unacheka hivyo
Namalizia kwanza Niliyoyaona Dafur,nadhani ntaianza moyo uliojaa maumivu usk huuHahahah
Ile moyo ulioonja maumivu
Hahaha,mzazi umesemaHapana huyu hafai
Toto una mawazo ya kumkula shangazi yako kweliiiShangazi sasa hivi huniiti tena totoo,najisikia vibaya mimi!![]()
Hahhahah furahi mwaya maisha yenyewe matamu haya halafu mafupiHahahaha
Napenda kufurahi muda wote Mamii
Imalizie hiyo mbona fupi tuNamalizia kwanza Niliyoyaona Dafur,nadhani ntaianza moyo uliojaa maumivu usk huu
Shangazi yake nimeshasemaHahaha,mzazi umesema
Toto una mawazo ya kumkula shangazi yako kweliii


Acha kunisingizia shangazi!Wapi nimesema namtaka shangazi??!
Mjue mm mtu mzima huyu jiwe mnayemsema ni mm shangazi nateua natengua teuziAcha kunisingizia shangazi!Wapi nimesema namtaka shangazi??!
Hahhahah furahi mwaya maisha yenyewe matamu haya halafu mafupi
Hahhahah hujaona nimetengua teuzi mjomba wao watuHahahaha,
Haswa,tena nikiwa na MTU kama wewe,kwann nisifurahi
Hahhahah hujaona nimetengua teuzi mjomba wao watu
Me nakuruhusu binamu we fanya kweli tu....yaani nimegundua kuwa wewe ndiye ndugu yangu wa ukweli, sina mwingine. Sasa niruhusu nifanye tukio la kutisha kila mtu aogope. Yaani ukiniruhusu tu nafanya kweli, sema su

Ustaadhat, hebu eleweka basi mipango niliyokuambia chemba ni ya kweli, na nitafanya zaidi
Usimsikize anko wangu alinikopesha hela lakini ukieleweka tu basi nafanya udhulumati akose ufaidi wewe
