Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Unajua kbs ulipokwamia wewe,ss wacha mjomba aendeleze pale ulipoishia![]()
msaidie jamaniHabar za hapa ndugu zangu?
Hope ni wazima na mnaendelea kupambana na majukum ya kila siku.
![]()

Sijambo binamuMarahaba binamu mzuri,hujambo?
Flati yule huyu hamuwezi labda kaka angu ningendako
Karibu sanaaHumu mm naingia leo kwa makapuku, na mm pia kapuku tuu, ila nina maswali kama buku...
Karibu sanaa
Ngoja nione amejbu nnJibu lake likija niite.
Ubahili wa binamu yangu,,wakat pesa ya korosho anayoBaba wawili binamu yenu kaachwa mary yupo na lyon
Nimemaliza zote tayari shangaziImalizie hiyo mbona fupi tu
Shikamooo mjomba wao watuHahahaha
Umenicheka ,Mama mchungaji
huyo moneytalk hana chura kwani?Poa baba wawili jamani za ww nataka nikupe huyu moneytalk au nimpe Behaviourist tatizo huyu mtoto kinachomponza ni kupenda chura tu
Jickie upo nyumbani mkuuAsante sana