Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nmeelewa sasa,,,ankolii kamfanyia kitu mbaya sana binamu,,,mbwembwe zote zile tulizofanya na dada angu Tumosa ...binamu katoswa

Hadi tumempeleka inglishi kozi
Mlijitahidi sn nami pia sikua nyuma,,tatizo X yule hela jama hela hata nauli alishindwa akaniambia niombe list ktk magari ya wale jamaa wa kubeba koroshow
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom